Kuna maeneo hawajaamka. Vijibweni walipomwagiwa milioni 40 toka Ikulu, wakapitisha diwani wa CCM. Bado kuna vichwa vya wendawazimu ambao njaa zinawasumbua. wakiishapokea, lazima watoe kura. wanasahau kuwa hela hizo wanazzogawiwa ndizo baadaye zinaonekana kwenye ripoti ya mkaguzi wa hesabu za serikali kama matumizi yasiyo na viambatanisho!!Chezea Tdm wewe Ccm lazima watambue kuwa hawana ushawishi hata wakimwaga hela wananchi wameamka siku hizi
Mji wa Tunduma jana ulichafuka baada ya Waziri mkuu aliyejiuzulu Edward Lowassa kulakiwa na umati mkubwa wa wafuasi wa CDM waliokuwa wamejipanga kando kando ya barabara.Wananchi hao walikuwa wakipiga miluzi kwa sauti kubwa na kuonyesha alama ya vidole viwili juu ishara ya chama hicho.
Lowassa alikuwa akienda kwenye harambee ya ya kanisa la EAGT ambapo alichangia sh milioni kumi.
Kutokana na sintofahamu hiyo kulikuwa na ulinzi mkubwa wa polisi ambapo Lowassa alikuwa na msafara mkubwa wa viongozi wa serikali na chama cha mapinduzi.Kutokana na hali hiyo Lowassa alichelewa kufika kwa wakati kwenye harambee,kwani aliwasili saa 8 mchana badala ya saa 5 asubuhi.
Akizungumza kwa kifupi na waandishi Lowassa alisema alipata majaribu makubwa safarini lakini Mungu alimfikisha salama.Alidai alisaidiwa sana na mkurugenzi mstaafu wa usalama wa Taifa Apson Mwang'onda.
SOURCE:NIPASHE JUMAPILI.
sikubaliani na wewe,,,uhoi ni upi,,,,mtandao wao unaujua vyema,,,,,,sema watu wameanza kuelewa na kujaa ujasiri inasaidia lakin hakuna kujifariji hapo,,,,ghasia aliwahi sema hatishiwi nyau kuwa mtandao alojenga miaka ivurugwe na lipumba kwa siku tatu,,,,merry nagu akasema hawezi vurugwa na mbowe kwa ziara ya chopa ya siku moja,,,atavuruga ataondoka anabaki na watu wake,,,,,,,,cdm,,,,inavyokua kwa kasi,,,iajiri vijana wasomi,,wanasiasa jasiri,,wawe makatibu watendaji wa majimbo,wawezeshwe,,wajenge mfumo imara wa chama kila jimbo,,,waigawanye nchi katika majimbo ya kichama,,,kama sera ilivyo,,,,,,,wale vingozi wa kitaifa wagawanywe wakaongoze majimbo hayo,,,,magavana wa kichama,,,,,ili kutoa nafasi ya kurecruit wengine na kuwafunda kuwa wafia chama,,,,,na kutoa nafasi zaidi za wapambanaji kuwa utilized,,,,,,na hq kuto banch na kukosa kazi na migogoro kuibuka,,,,,,mie si jabobea ni ushauri tu,,,,,,,,,,,,,,:help:
Huu ni mfano halisi wa "Ukweli utawaweka huru"!Kama huelewi hiyo nayo ni feedback mojawapo kwamba wamechoshwa na utawala wao.
Na kwa taarifa yako sisi em hawana ujasiri wa kuzomea hata kidogo. Waanzie wapi wakati bilioni kibao zinafujwa kila siku?
Lakini kumbukeni Lowassa ni waziri mkuu mstaafu wa Tanzania!
Chadema ina kundi kubwa la vijana wasio wastaarabu na wengi ni wavuta bangi na madawa ya kulevya na sasa wanangoja chadema iingie madarakani ili wapewe ajira na kuruhusiwa kuvamia migidi na kuiba madini......ole wenu chadema mje mshindwe kuwapa hawa wahuni matarajio yao mkiingia madarakani
Hizo ni ngurumo tu bado Kyela wanamsubiri, hizo pesa za kifisadi zitamuua na hicho kiharusi chake.....Mji wa Tunduma jana ulichafuka baada ya Waziri mkuu aliyejiuzulu Edward Lowassa kulakiwa na umati mkubwa wa wafuasi wa CDM waliokuwa wamejipanga kando kando ya barabara.Wananchi hao walikuwa wakipiga miluzi kwa sauti kubwa na kuonyesha alama ya vidole viwili juu ishara ya chama hicho.
Lowassa alikuwa akienda kwenye harambee ya ya kanisa la EAGT ambapo alichangia sh milioni kumi.
Kutokana na sintofahamu hiyo kulikuwa na ulinzi mkubwa wa polisi ambapo Lowassa alikuwa na msafara mkubwa wa viongozi wa serikali na chama cha mapinduzi.Kutokana na hali hiyo Lowassa alichelewa kufika kwa wakati kwenye harambee,kwani aliwasili saa 8 mchana badala ya saa 5 asubuhi.
Akizungumza kwa kifupi na waandishi Lowassa alisema alipata majaribu makubwa safarini lakini Mungu alimfikisha salama.Alidai alisaidiwa sana na mkurugenzi mstaafu wa usalama wa Taifa Apson Mwang'onda.
ccm ni marehemu mtarajiwa tu!!!!!!!!!!!!!!!!