Aliyewanyima kufanya hivyo nani?????Huu ni ushamba siasa gani za kuzomea watu? Hivi wana ccm wakiamua kujipanga barabarani na kuzomea unazan hawawezi? Alafu mijtu eti yanaona bonge la credit
tangu lini wezi wakajipanga barabarani? labda mjipange vichakani, kwanza hamna muda huoHuu ni ushamba siasa gani za kuzomea watu? Hivi wana ccm wakiamua kujipanga barabarani na kuzomea unazan hawawezi? Alafu mijtu eti yanaona bonge la credit
Huu ni ushamba siasa gani za kuzomea watu? Hivi wana ccm wakiamua kujipanga barabarani na kuzomea unazan hawawezi? Alafu mijtu eti yanaona bonge la credit
Huu ni ushamba siasa gani za kuzomea watu? Hivi wana ccm wakiamua kujipanga barabarani na kuzomea unazan hawawezi? Alafu mijtu eti yanaona bonge la credit
Huu ni ushamba siasa gani za kuzomea watu? Hivi wana ccm wakiamua kujipanga barabarani na kuzomea unazan hawawezi? Alafu mijtu eti yanaona bonge la credit
Carcass at work! vipi nasikia kamanda Millya kaondoka na mamilioni ya UVCCM. Binafsi namshauri kama kweli ameyachukua asiyarudishe kwa sababu hata firauni wetu wa ikulu kawatorosha twiga wetu na hajawarudisha hadi sasa.Nimejaribu kuitafuta hiyo nguvu ya Chadema sijaona kitu zaidi ya watu kukaa kando kando ya barabara nakuonyesha alama ya vidole.
Ulie tu. CCM kuna watu wana uwezo kufanya hivo?Huu ni ushamba siasa gani za kuzomea watu? Hivi wana ccm wakiamua kujipanga barabarani na kuzomea unazan hawawezi? Alafu mijtu eti yanaona bonge la credit
sikubaliani na wewe,,,uhoi ni upi,,,,mtandao wao unaujua vyema,,,,,,sema watu wameanza kuelewa na kujaa ujasiri inasaidia lakin hakuna kujifariji hapo,,,,ghasia aliwahi sema hatishiwi nyau kuwa mtandao alojenga miaka ivurugwe na lipumba kwa siku tatu,,,,merry nagu akasema hawezi vurugwa na mbowe kwa ziara ya chopa ya siku moja,,,atavuruga ataondoka anabaki na watu wake,,,,,,,,cdm,,,,inavyokua kwa kasi,,,iajiri vijana wasomi,,wanasiasa jasiri,,wawe makatibu watendaji wa majimbo,wawezeshwe,,wajenge mfumo imara wa chama kila jimbo,,,waigawanye nchi katika majimbo ya kichama,,,kama sera ilivyo,,,,,,,wale vingozi wa kitaifa wagawanywe wakaongoze majimbo hayo,,,,magavana wa kichama,,,,,ili kutoa nafasi ya kurecruit wengine na kuwafunda kuwa wafia chama,,,,,na kutoa nafasi zaidi za wapambanaji kuwa utilized,,,,,,na hq kuto banch na kukosa kazi na migogoro kuibuka,,,,,,mie si jabobea ni ushauri tu,,,,,,,,,,,,,,:help:
Huu ni ushamba siasa gani za kuzomea watu? Hivi wana ccm wakiamua kujipanga barabarani na kuzomea unazan hawawezi? Alafu mijtu eti yanaona bonge la credit
Huu ni ushamba siasa gani za kuzomea watu? Hivi wana ccm wakiamua kujipanga barabarani na kuzomea unazan hawawezi? Alafu mijtu eti yanaona bonge la credit
Huu ni ushamba siasa gani za kuzomea watu? Hivi wana ccm wakiamua kujipanga barabarani na kuzomea unazan hawawezi? Alafu mijtu eti yanaona bonge la credit
Ulie tu. CCM kuna watu wana uwezo kufanya hivo?
Mji wa Tunduma jana ulichafuka baada ya Waziri mkuu aliyejiuzulu Edward Lowassa kulakiwa na umati mkubwa wa wafuasi wa CDM waliokuwa wamejipanga kando kando ya barabara.Wananchi hao walikuwa wakipiga miluzi kwa sauti kubwa na kuonyesha alama ya vidole viwili juu ishara ya chama hicho.
Lowassa alikuwa akienda kwenye harambee ya ya kanisa la EAGT ambapo alichangia sh milioni kumi.
Kutokana na sintofahamu hiyo kulikuwa na ulinzi mkubwa wa polisi ambapo Lowassa alikuwa na msafara mkubwa wa viongozi wa serikali na chama cha mapinduzi.Kutokana na hali hiyo Lowassa alichelewa kufika kwa wakati kwenye harambee,kwani aliwasili saa 8 mchana badala ya saa 5 asubuhi.
Akizungumza kwa kifupi na waandishi Lowassa alisema alipata majaribu makubwa safarini lakini Mungu alimfikisha salama.Alidai alisaidiwa sana na mkurugenzi mstaafu wa usalama wa Taifa Apson Mwang'onda.
SOURCE:NIPASHE JUMAPILI.