Hili suala la kupiga ban mikutano na maandamano ya kisiasa binafsi naliunga mkono 100% ulikuwa ni upumbavu tu kuruhusu.
Imagine,2007 watu walikusanywa kwa maelfu pale Mwembeyanga grounds wakatajiwa orodha ya fedheha,miaka 8 baadae watu haohao wakajitokeza tena mchana kweupe na kuanza kuomba ushahidi wa hao waliowataja kama kweli ni mafisadi!! WTF
Kule Mwanza kila wiki kulikuwepo maandamano yakiratibiwa na Wenje hasa mtaa wa Makoroboi na kule Furahisha yamepelekea watu kuporwa maduka yao,watu kupata ulemavu etc.
Africa inahitaji aina yake ya Demokrasia siyo hii imported!!
Mods tafsirini hii comment for the English Audience!!