Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,264
Lowasa hajachanganyikiwa mkuu bali kuna vijana wake wa kazi maalumu humu JF ndo wanachemka namna ya kuwasilisha walichotumwa kuwasilisha.Hivi Lowasa amechanganyikiwa nini?
Laiti silver hair akisoma hii thread naamini Kichwa Ngumu u r fired.