Lowassa anasafishwa!

Kaazi kwelikweli!
 
KAMA CCM WATAMSIMAMISHA KUGOMBEA URAIS-NDIO AMESHAKUWA RAIS HUYO, hata tubooonye keyboard zetu mpaka button zifutike!

vijijini tuna kazi kuliko kuandika humu!
 

Ya, ni haki yake kikatiba na nikweli pia kuwa JK ameonyesha kuwa mtawala dhaifu kabisa na mnafiki , angalia asivyotaka kuonyesha yuko wapi katika vita dhidi ya mafisadi! anataka kina Rostam waendelee kumpenda kama shoga yao wa siku nyingi huku pia kina Anne kilango waendelee kumpenda na wananchi wawe wanaendelee kudhani eti anawatuma kina Mwakyembe, Kilango, Mengi n.k

Asiwe Lowassa tu hata wengine wanaojiona wanafaa kuuondoa ubovu huu uliopo wajitokeze waziwazi .
 

Angalia hiyo heading uiedit.

kuna tetesi kuwa alishanunua Radio 5 ya kule Arusha .
 
Kweli uongozi mtamu...... nilikuwa naamini baada ya kashfa zote na aibu aliyoipata bungeni hangekaa ashabikie siasa for the rest of his life kumbe I was wrong!! Poor me and my stupid thinking!
 
Last edited:

Mimi naona itakuwa vizuri kama itapitishwa sheria ya kuruhusu mgombea binafsi hii nayo ingeleta upinzani mkubwa sana.
 


Mhhh, Mungu atuepushe na mabaya yote yajayo mbele katika nji hii Danganyika! AMINA
 
Naanza kutafuta uraia wa nje jamani! Sidhani kama nawezavumilia kushuhudia akiapishwa!!
 
Lowassa akigombea CCM hatafika popote. Hivi sasa JK anaandaa njia ya kushinda uchaguzi mkuu mwaka 2010. Vile vile, si rahisi kwa EL kupata kura za kutosha kwenye mkutano mkuu wa CCM. Hii inatokana na jinsi alivyokuwa alipokuwa PM. Wengi ndani ya CCM hawampendi Lowassa kiasi cha kumpitisha kuongoza nchi.

Kwa maoni yangu, akiamua kugombea 2010, atapoteza uswahiba wake kwa JK, na hatapata kura za kutosha hata kwenye uchaguzi mkuu.
 
Mtoa habari si alisema ni TETESI, sioni maana ya kuendelea na hoja hii butu. Hata mwanahalisi naye anakisia tu maana Lowassa mwenyewe hajatamka.
 
Any one can become a president in this country. Trace our history since 1961. Scrutinize our political and other systems. Examine our voters. Any one can be. Trust me.
 

Hapana,
Mimi si fisadi na sitakuwa fisadi maishani mwangu. BWANA YESU amefanya makao moyoni mwangu.
 
Mimi nadhani lowassa would be the right candidate for presidency! Huyu wa sasa hakuna kitu na sijawahi kuona mchapakazi kama Lowassa katika CCM nzima. So Lowassa, please go ahead and you can already be cunting one vote from me! I know you were accused unjustiably by the "happy go luck" Mwakyembe and his goons! They had nothing against you except wivu tu kwa jinsi ulivyokuwa makini na mwepesi katika kutekeleza majukumu yako. CCM wanapenda watu wanaoendekeza majungu na si wachapa kazi kama wewe. Waliangalia kibanzi katika jicho lako na kusahau boriti katika macho yao. GO LOWASSA, GO.............You are my man!
 

Super comments mkuu! Na zaidi...
Ni bora kulala chumba kimoja na nyoka anayeeleweka ana sumu...utakuwa umejianda na consequnces zake kuliko kulala na nyoka asiyeeleweka. JK haeleweki but Lowassa anaeleweka... japo in a negative way .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…