sasa naona kwanini lowasa anapingwa na wanaccm mle ndani,lowasa hawezi kukubali mawazo ya mwanakwaya komba au mtu kama lusinde nape na wengine wa aina hiyo.sababu upeo wao wa kufikiri ni mdogo sana,lowasa aliposema ajira kwa vijana wapuuzi ndani ya ccm walimpinga sasa kwa mlango wa nyuma wanaanzisha jkt,wanapigania ajira kwa kutumia bodaboda hili si suluhisho kwani jkt ni kuwaweka pamoja bila future ili ccm iwatumie kuiba kura na kutumia bodaboda kutorosha masanduku ya kura.hivi ma dr wote na maprofesa ndani ya ccm hamuoni huruma kwa future ya vijana wetu kwa mpango huu iwapo ccm ya akina lusinde ikirudi madarakani tutegemee ya congo,mali,misri,algeria kwani hakutakuwa na mwelekeo:frusty: