Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,431
- 271,923
huyu mzee hataamini macho na masikio yake !
Napenda sana huyu jamaa aje kuwa raisi wetu ila ndo hvyo cjui kma itawezekana.
Ndo dini yenu ya mashetani mnafundishwa kutubu kwa maaskofu badala ya Mungu?Lowasa alienda Mwanza kutubu kwa Askofu anayemuamini atamfichia siri, Naona tumpe tu kura kama Dr. W. Slaa wa Ukweli hataweka jina maana wagomea wengine wa ccm waliobaki ni kama waliwahi kugongwa na pikipiki wakaangukia kichwa.
wale wote wenye roho ya kishetani kama yako mtajuta.hakuna kulala na kuombaomba.fanya kaziHuyu jamaaa anautafuta urais kwa hali na mali akiupata c tutajuta
Huyu jamaaa anautafuta urais kwa hali na mali akiupata c tutajuta
Kosa walilolifanya wazambia kumchagua mtu mgonjwa hatuwezi watanzania wenye akili zetu kulirudia, ukitaka kuyajuaa ya Lowassa ulizia ya Sata
Kumbuka pia Mh. Pinda alisema kupitia BBC dira ya Dunia kuwa yeye ameanza kampeni za kimya kimya. Je Pinda naye anaidharau kamati ya Mangula. Basically post naona haina jipya sana,Jana 29/10/14 Mhe. Lowassa aliingia Mwanza, na Fastjet ya saa 2:30 asubuhi. Akapokelewa na viongozi wa wilaya ya Ilemela akiwepo DC Mama Masenza. Akachukuliwa na gari la Idara ya Maji akifuatana na mpambe wake mkuu Ndg. Mgeja, mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Shinyanga hadi hoteli ya Gold Crest, akapumzika na kuonana na mkuu wa mkoa wa Mwanza na wakuu wa wilaya za jirani kwa muda wa saa kama moja hivi na baadaye kuondoka kwenda jimbo kuu la Katoliki.
.