Lowassa anaidharau kamati ya Mangula

Lowassa anaidharau kamati ya Mangula

@ jojipoji,Nimechagua na kupiga kura mkutano mkuu wa taifa kuanzia Wakati wa mkapa, nimekuwa Mpiga kura Wakati wa jk pia,nadhani Jambo Hilo wewe ulikuwa unalisikia tuu au kusoma kwenye magazeti, huwezi kufananisha maneno ya kizushi waliyosema kuhusu jk ya Wakati ule na uhalisia kuhusu Lowassa ambao ata kwa macho tuu ukikutana nae utagundua..,anatembea Kama robot, anatetemeka Kama Muhammad Ali, wewe nadhani utakuwa unatumika tuu Kama condom tatizo lako, ndio wale wale kina ocampo....
 
==>> Lowassaaaaaaa 2015......!!!!!!👏👏👏👏👏
 
Jana 29/10/14 Mhe. Lowassa aliingia Mwanza, na Fastjet ya saa 2:30 asubuhi. Akapokelewa na viongozi wa wilaya ya Ilemela akiwepo DC Mama Masenza. Akachukuliwa na gari la Idara ya Maji akifuatana na mpambe wake mkuu Ndg. Mgeja, mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Shinyanga hadi hoteli ya Gold Crest, akapumzika na kuonana na mkuu wa mkoa wa Mwanza na wakuu wa wilaya za jirani kwa muda wa saa kama moja hivi na baadaye kuondoka kwenda jimbo kuu la Katoliki.

Alipofika hapo alilakiwa na Askofu Mkuu Baba Rwaichi na kuwa na mazungumzo naye kwa muda kama saa moja.

Walichoongelea haijulikani na watu waliokuwa karibu na kanisa wanahisi alikuja kuomba asaidiwe kwenye nia yake ya kugombea Urais mwaka kesho. Au wengine wanasema alileta bulungutu la fedha kwa askofu huyo kama mchango wake kwenye miradi ya kanisa.

Baada ya hapo Mhe. Lowassa aliondoka kuelekea airport akifuatana na kundi la wafanyabiashara wenye asili ya mkoa wa Kilimanjaro na Arusha waishio Mwanza, hadi airport na baadae kuondoka na Fastjet ya mchana.

hii ni habari au story
 
Back
Top Bottom