Lowassa anachekesha, hawezi pata attention tena

Lowassa anachekesha, hawezi pata attention tena

Mwaka huu mtapumua kama kuku maana lowasa amekua pilipili mnawashwa kotekote
 
Tumia kiswahili tu
Maneno yanakua marefu, halafu hiki kitendea Kazi nikitumiacho nikiandika kiswahili kinanipa taabu sana, hata Mimi natamani niandike Kiswahili mwanzo mwisho. Hata hivyo Asante kwa Ushauri.
 
atahutubia kwa dakika ngapi?

au ndio hotuba tutasoma kwenye website.
 
Wapiga dili wa chaggadema bado wana tamaa na pension yake ya uwaziri mkuu wanatka kumkamua mpka senti ya mwisho ..bravo mbowe ...the real political entepreneur
 
Bado wachagga wanamuaminisha anaweza kushinda wamtafune vizuri.

Si unajuwa wameshalipata zezeta, wamekamua maziwa sasa wanataka kuhakikisha wanakamua mpaka damu.
 
cjui kama anawashauri, au kama anao wanamshauri vibaya.

binafsi simkubali magufuli lakini kwa Lowasa sasa itakua kichekesho kuzani attapata attention tena.

mzee is over u can't change tym back.

ulivoondoka ccm ndio uliojimaliza kabisa.

ushauri wangu kama wanaokuzunguka wameshindwa PUMZIKA ULEE FAMILA. USIJE UKAMKASIRISHA MWAKIEMBE ASIJEKUFUFUA ILE KITU.

Huyu mzee angekupumzika tuu kwa kifupi mpaka sasa hana effect yeyote katika jamii.
lowassa amechoka na hana nafadi nyingine tena,kwa kifupi kama anaenda kupiga propaganda ni kazi bure
 
Bado wachagga wanamuaminisha anaweza kushinda wamtafune vizuri.

Si unajuwa wameshalipata zezeta, wamekamua maziwa sasa wanataka kuhakikisha wanakamua mpaka damu.

Hahahahahahahahahahahaha kwi kwi kwi kwi........mamvi bado anauota urais. Ukute anajiona yeye ndo Magufili.
 
Mbona mna hofu,mbona hamna imani?? Wapumbavu ni wengi tutakaokwenda kumsikiliza mzee Lowasa,MATUMAINI TULIYOANZA KUYAPATA KWA MAGUFULI YAMEPOTEA
 
Mleta mada ulitaka kusema nini katika thread hii! Uchaguzi umeisha bado unataka EL asimame jukwaani upime umaarufu au kukubalika kwake au ni Uzuzu wako tu?
 
Sisi malofa tuliompa kura zetu tunampenda sana na tutaenda kupokea shukrani toka kwake. Alipo tupo milele.
 
cjui kama anawashauri, au kama anao wanamshauri vibaya.

binafsi simkubali magufuli lakini kwa Lowasa sasa itakua kichekesho kuzani attapata attention tena.

mzee is over u can't change tym back.

ulivoondoka ccm ndio uliojimaliza kabisa.

ushauri wangu kama wanaokuzunguka wameshindwa PUMZIKA ULEE FAMILA. USIJE UKAMKASIRISHA MWAKIEMBE ASIJEKUFUFUA ILE KITU.

PUNGUZA HASIRA MKUU NADHANI UTAELEWEKA VIZUR ZAIDI, KWA STAILI HII UNAJIZALILISHA.

'JF Senior Expert Member' ACT LIKE THEM
 
Back
Top Bottom