Lowassa amtaka Zitto kujiunga UKAWA ili mpambano uwe kati yake na Magufuli.
Mazungumzo Makali yanaendelea namna gani ya kumjumuisha Zitto.
Chanzo: Magazeti ya Leo na Jana RAIA mwema
Hukumbuki kauli ya mchungaji Msigwa kuwa Chadema ni kama kanisa la wokovu, halichagui, so kwanini zitto haruhusiwi kanisani (chadema)?
Sasa huyo kaomba lift anataka kupiga na honi.
Hukumbuki kauli ya mchungaji Msigwa kuwa Chadema ni kama kanisa la wokovu, halichagui, so kwanini zitto haruhusiwi kanisani (chadema)?
Ya tanzania mkuu wangu
Lowassa amtaka Zitto kujiunga UKAWA ili mpambano uwe kati yake na Magufuli.
Mazungumzo Makali yanaendelea namna gani ya kumjumuisha Zitto.
Chanzo: Magazeti ya Leo na Jana RAIA mwema
Hakuna Ukweli wowote,,....CHADEMA hawana mpango wa kumchukua Lowasa
Pia ikumbukwe Act ni chama cha lowasa
Huu sasa utani, kabla hata hajakaribishwa rasmi tayari keshaanza kuongoza Chama kwa maagizo. Akiingia si ndiyo ataanza na kufukuza wanachama, ili abaki na aliohama nao.
Ila kama ukawa wako tayari kumpokea Luwasa wanashindwaje kumpokea ZZK iwapo kama wote lengo ni moja? C unafiki huo?
Kati ya wewe na Mbowe aliyenukuliwa na gazeti la Tanzania Daima akimkaribisha Lowasa CDM tumwamini nani?
Mbowe hakumtaja Lowasa kuwa anamkaribisha CHADEMA
Mbowe alisema watu wote wanakaribishwa...It was not specifice to Lowasa
Sasa ulitaka Mbowe aseme watu hawakaribishwi CHADEMA.
By the way Lowasa hana nia ya kuja UKAWA....Hizo ni porojo za social media
Kama Lowassa anataka kupewa fursa ya kugombea asiwape wenzake masharti otherwise arudi CCM tuone maana Zitto ni tapeli aubaingie ACT agombee lkn co kubebwa alafu unakuwa na masharti ya kijinga.
Chadema wakimrudisha Zitto kwenye kambi yao na withdraw support yangu kwao