Kuna taarifa mpya kwamba ACT ilianzishwa na mtandao wa Membe siyo Lowassa, sasa Zito akasaliti masharti ya uanzishwaji wake na baadae kuhamia kambi ya lowassa, akakatiwa fund na Team Membe, sasa hujiulizi ni kwa nini kila mbunge anayehama ni kimbilio ni Chadema tu?