hakuna haja ya kutengana wakati adui ana nguvu sana ni kuungana hapa kumwangusha adui kwanza. we need changes
nikwel jaman?
sasa huyo kaomba lift anataka kupiga na honi
Hatumhitaji huyo mamvi.. We can do without him.. Aende ACT akaungane na huyo kijana wake
Lowasa anamtaka kwa sababu zifuatazo,kuondoa dhana ya ukaskazin,kuteka kundi LA vijana cuz slaa,mbowe na lipumba wrote ni wazee na mwisho umoja.