Anabadlika kama kinyonga.Wamarekani na jumuiya ya kimataifa walio katika mapambano na ugaidi wanaelewa kila kitu Kuhusu Lowasa na kuhusu hela za kampeni zake zinatokea wapi.Hawawezi danganyika.Na wanaelewa kwa nini Lowasa alimchukua Duni Haji muumini wa UAMSHO kama mgombea mwenza.
Kiufupi kwenye jumuiya ya kimataifa Lowassa yuko kwenye BLACK LIST.
Hizo ndo sifa na kazi za wanaCCM mkuu muache kusingizia wenzenu.hamjitambui, anatumia kutokumfaham kwenu na udhaifu wetu kuwatumia kama daraja la kutimiza yake. Kashakwambia akishinda yy atashugurika na mama lishe na bodaboda je na ww mama lishe au bodaboda? Huyu mtu tapeli hana maono ya kulifikisha taifa hili ktk maendeleo endelevu, akataliwe kwa njia yoyote ile
Nikizingatia watia nia ya urais wote wakiwemo waliokatwa, waliojitoa na waliopita; ni EL pekee ambaye amekuwa na nia ya urais kwa kipindi kirefu (tangu mwaka 1995). Hivyo katika kipindi hiki chote kajifunza mengi kuhusu namna ya kukiishi hicho kiti anachowania, ikiwa ni pamoja na kuwa mtu mwenye uvumilivu, hekima na umakini. Abarikiwe
Napenda sana busara ya el!
Busara ndio trademark yake, ni kitu chake yani!
Ni kweli ndugu wewe unatumiwa na ccm na magufuli wao kwa kuwa unajitambua,sasa sisi tutajitambuaje wakati ccm na serikali yake wametunyima elimu bora,tutajitambuaje wakati tumepigika na ugumu wa maisha uliosababishwa na sera nzuri za ccm,tutajitambuaje wakati watoto wetu wamenyimwa elimu.tutajitambuaje wakati 80% ya watanzania tukiishi kwa chini ya dola moja kwa siku.Heri ninyi mnaojitambua endeleeni na ccm yenu,acha ccm tuendelee kutumika,Kwani tuna nini cha kupoteza?hamjitambui, anatumia kutokumfaham kwenu na udhaifu wetu kuwatumia kama daraja la kutimiza yake. Kashakwambia akishinda yy atashugurika na mama lishe na bodaboda je na ww mama lishe au bodaboda? Huyu mtu tapeli hana maono ya kulifikisha taifa hili ktk maendeleo endelevu, akataliwe kwa njia yoyote ile
Wakuu Salaam!
Napenda kunukuu neno kwa neno kadri nilivyosikia Mzee Lowassa akielekeza maneno yake kwa Mzee Kinana.
"Kuna mtu mmoja mwenye mamlaka kwenye Chama, tena Muislam, akaandika barua kwenye gazeti moja nchini MAREKANI, gazeti maarufu kidogo." Akasema 'LOWASSA ANAPENDA MAGAIDI NA ATAENDELEZA MAGAIDI, na AKICHAGULIWA kuwa RAIS ATALETA UGAIDI NCHINI'.
Lowassa anaendelea...Sasa nataka nirudie majibu yangu kwake na kwa waTanzania...nilisema 'NITAZINGATIA SHERIA KUCHUNGUZA KAMA WALE MA - SHEIKH WAMEONEWA na KAMA TARATIBU ZA KISHERIA ZILIFUATWA na KAMA HAZIJAFUATWA NITAWATOA NJE mara MOJA, sasa NAMRUHUSU HUYO ANAETAKA KUSHTAKI DUNIANI AKASHTAKI KOKOTE, angojee TU NIWE RAIS.
Anaendelea Lowassa...Nchi hii ina AMANI kwa sababu TUNAHESHIMIANA hakuna watu wenye HATIMILIKI wa nchi hii kwamba wanachosema wao ni sawa. Mimi nimesema jamani nitachunguza upungufu wa sheria na nitachukua hatua wala SIOGOPI NG'O. kamaliza
MY TAKE:wiki kazaa zilizopita Mzee KINANA aliandika article katika blog ya The HILL tukasoma, Mzee LOWASSA nae kasoma kisha akakaa kimya lakini jana akiwa Pemba hayo ndio majibu yake! Aksante.
Lowasa hana busara. Kama ilivyo kwa mshenga Gwajima.
Mkuu wezi wapo segerea na magereza mengine nchi,mimi ningekuwa ccm ujinga kama huu ulioandika hapa nisingeufanya maana unaongeza chuki ya wananchi dhidi ya ccmUnapopenda meli lazima umpende na nahodha wake, kwa maana hiyo unapompenda Lowassa usiache kupenda uwizi na ufisadi wake vilevile usichague mambo ya kupenda maana pamoja busara yake lakini vilevile ni jizi na fisadi
Lowasa hana busara. Kama ilivyo kwa mshenga Gwajima.
Wenye busara hawa hapa;
Nape
Bulembo
Mwigulu
Lusinde
Msukuma
Kinana
Lodi Lofa
List ni ndefu, lakini hawa ndio vipanga wa busara CCM.
Anabadlika kama kinyonga.Wamarekani na jumuiya ya kimataifa walio katika mapambano na ugaidi wanaelewa kila kitu Kuhusu Lowasa na kuhusu hela za kampeni zake zinatokea wapi.Hawawezi danganyika.Na wanaelewa kwa nini Lowasa alimchukua Duni Haji muumini wa UAMSHO kama mgombea mwenza.
Kiufupi kwenye jumuiya ya kimataifa Lowassa yuko kwenye BLACK LIST.
Kinana haonekani akimkandia Lowassa live kwenye kampeni za ccm kwa sababu anaogopa maovu yake yasije wekwa hadharani...
Anyway; ni ajabu na kweli kuwa katibu mkuu wa ccm amemwachia Bulembo kazi ya kumnadi mgombea wao..!
Anajisumbua waislam hakuwatetea mashekhe yuko ccm waislam tunajua nini tutafanya hata aseme atatujengea chuo kikuu cha waislam hatukupi ng'o
Tunaomchagua lowassa awe raisi wetu ni sisi watanzania na sio jumuiya ya kimataifa. Uhuru alikuwa na kesi icc lakini wakenya walimchaguaAnabadlika kama kinyonga.Wamarekani na jumuiya ya kimataifa walio katika mapambano na ugaidi wanaelewa kila kitu Kuhusu Lowasa na kuhusu hela za kampeni zake zinatokea wapi.Hawawezi danganyika.Na wanaelewa kwa nini Lowasa alimchukua Duni Haji muumini wa UAMSHO kama mgombea mwenza.
Kiufupi kwenye jumuiya ya kimataifa Lowassa yuko kwenye BLACK LIST.