Lowassa amjibu Kinana huko Pemba!

Lowassa amjibu Kinana huko Pemba!

MIAMIA.

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2011
Posts
210
Reaction score
82
Wakuu Salaam!

Napenda kunukuu neno kwa neno kadri nilivyosikia Mzee Lowassa akielekeza maneno yake kwa Mzee Kinana.

"Kuna mtu mmoja mwenye mamlaka kwenye Chama, tena Muislam, akaandika barua kwenye gazeti moja nchini MAREKANI, gazeti maarufu kidogo." Akasema 'LOWASSA ANAPENDA MAGAIDI NA ATAENDELEZA MAGAIDI, na AKICHAGULIWA kuwa RAIS ATALETA UGAIDI NCHINI'.

Lowassa anaendelea...Sasa nataka nirudie majibu yangu kwake na kwa waTanzania...nilisema 'NITAZINGATIA SHERIA KUCHUNGUZA KAMA WALE MA - SHEIKH WAMEONEWA na KAMA TARATIBU ZA KISHERIA ZILIFUATWA na KAMA HAZIJAFUATWA NITAWATOA NJE mara MOJA, sasa NAMRUHUSU HUYO ANAETAKA KUSHTAKI DUNIANI AKASHTAKI KOKOTE, angojee TU NIWE RAIS.

Anaendelea Lowassa...Nchi hii ina AMANI kwa sababu TUNAHESHIMIANA hakuna watu wenye HATIMILIKI wa nchi hii kwamba wanachosema wao ni sawa. Mimi nimesema jamani nitachunguza upungufu wa sheria na nitachukua hatua wala SIOGOPI NG'O. kamaliza

MY TAKE:wiki kazaa zilizopita Mzee KINANA aliandika article katika blog ya The HILL tukasoma, Mzee LOWASSA nae kasoma kisha akakaa kimya lakini jana akiwa Pemba hayo ndio majibu yake! Aksante.
 
Ukweli tu ambao utabaki milele,Lowassa ni mtu mwenye busara ya juu na uungwana kuliko kiongozi yoyote baada ya Nyerere kutangulia!!!

Hivi maneno ya kipuuzi na hovyo angekuwa anaambiwa Kikwete ingekuwaje?! Membe je?! Magufuli je?! Nepi Nayule je?!!

Kura yangu kwa Lowassa,time for changes!!!
 
lowasa ni hatari sana. huyu mtu level ya siasa yake si tanzania basi tu. vijana tuna mengi ya kujifunza kutoka kwa huyu mzee
1. Ujasiriamali
2. Siasa
3. Heshima
4. Mahusiano(kwa nje)
5. Organization( organizer)
6. Kutokata tamaa
7. Busara na kutokurupuka
8. Kujua unachotaka and stick on it.
Ni mengi ya kujifunza kutoka kwa lowasa.
 
lowasa ni hatari sana. huyu mtu level ya siasa yake si tanzania basi tu. vijana tuna mengi ya kujifunza kutoka kwa huyu mzee
1. Ujasiriamali
2. Siasa
3. Heshima
4. Mahusiano(kwa nje)
5. Organization( organizer)
6. Kutokata tamaa
7. Busara na kutokurupuka
8. Kujua unachotaka and stick on it.
Ni mengi ya kujifunza kutoka kwa lowasa.
Umesahau kuhusu ufisadi.
 
Ukweli tu ambao utabaki milele,Lowassa ni mtu mwenye busara ya juu na uungwana kuliko kiongozi yoyote baada ya Nyerere kutangulia!!!

Hivi maneno ya kipuuzi na hovyo angekuwa anaambiwa Kikwete ingekuwaje?! Membe je?! Magufuli je?! Nepi Nayule je?!!

Kura yangu kwa Lowassa,time for changes!!!
Subirini kipigo cha Oktoba 25. Hayo mengine sijui ana busara mtayajua wakati huo. Busara hizo kazipata UKAWA?
 
Nikizingatia watia nia ya urais wote wakiwemo waliokatwa, waliojitoa na waliopita; ni EL pekee ambaye amekuwa na nia ya urais kwa kipindi kirefu (tangu mwaka 1995). Hivyo katika kipindi hiki chote kajifunza mengi kuhusu namna ya kukiishi hicho kiti anachowania, ikiwa ni pamoja na kuwa mtu mwenye uvumilivu, hekima na umakini. Abarikiwe
 
Nawezaje kuupdate kuweka video clip yake
 
hamjitambui, anatumia kutokumfaham kwenu na udhaifu wetu kuwatumia kama daraja la kutimiza yake. Kashakwambia akishinda yy atashugurika na mama lishe na bodaboda je na ww mama lishe au bodaboda? Huyu mtu tapeli hana maono ya kulifikisha taifa hili ktk maendeleo endelevu, akataliwe kwa njia yoyote ile

lowasa ni hatari sana. huyu mtu level ya siasa yake si tanzania basi tu. vijana tuna mengi ya kujifunza kutoka kwa huyu mzee
1. Ujasiriamali
2. Siasa
3. Heshima
4. Mahusiano(kwa nje)
5. Organization( organizer)
6. Kutokata tamaa
7. Busara na kutokurupuka
8. Kujua unachotaka and stick on it.
Ni mengi ya kujifunza kutoka kwa lowasa.
 
Lowasa very wisdom hana papala angekuwa nape tayari angekuwa star tv kutukana God we in general to give us Mr edo as a holy candidate Presidential chosen by Almighty.
 
Nazidi kumpenda Lowassa,nimejifunza mengi sana kutoka kwake.
Ukimya wake ni jibu la mtu mwenye hekma,na ndio maana nitampa kura yangu Insha'Allah.
Mungu akupe maisha marefu mzee wetu.
 
Lowasa,inavyoonyesha nikuwa alilelewa vizuri na wazazi wake,ana subira,anjipa muda wa kutafakari kisha akitoa jibu linakuwa fupi na linaloeleweka.sio magufuli bingwa wa kukurupuka,kutafuta sifa,inazungumziwa afya,anakimbilia kupiga pushap na wajinga wanamchekea,afya hujulikana kwa kutumia vipimo vya kisayansi
 
Back
Top Bottom