Taarifa za kuaminika kutoka ndani ya CHADEMA ni kwamba James Mbatia yuko ndani ya ukawa kwa ahadi ya kusaidiwa kushinda jimbo la Vunjo. Makubaliano yameanzia 2010 baada ya Mbatia kupinga matokeo yaliyompa ushindi Halima Mdee jimboni Kawe. Mbowe alijua kuwa Mdee alielekea kushindwa ile kesi ndipo akamwomba Mbatia aifute baada ya kuahidiwa msaada Wa kampeni.
Kwa upande Wa Lowassa na Mbowe, wameingia mkataba Wa muda utakaokoma baada ya matokeo ya urais kutangazwa. Ni kwamba Lowassa hana mpango Wa kuwa rais na anajua hatachaguliwa. Hivyo malipo ya bilioni 12 aliyoyafanya Lowassa kwa Mbowe ni sehemu ya masharti ya makubaliano hayo. Lengo la Lowassa ni kukiyumbisha CCM kwa kukiongezea chadema majimbo na wanachama. Mkitaka kuamini niyasemayo, subirini baada ya uchaguzi Dr Slaa atarejea Chadema kuendelea na kazi, Lowassa atajitoa chadema na kubaki mwanaccm asiyetambuliwa(kadi ya ccm anayo). Msioamnini subirini haka kamchezo kahovyo kabisa kuwahi kutokea.
Mimi nafikiri ungenishauri niache kabisa na si kupunguza.Malezi mabovu yanawaathiri sana.
Punguzeni lugha chafu.
Taarifa za kuaminika kutoka ndani ya CHADEMA ni kwamba James Mbatia yuko ndani ya ukawa kwa ahadi ya kusaidiwa kushinda jimbo la Vunjo. Makubaliano yameanzia 2010 baada ya Mbatia kupinga matokeo yaliyompa ushindi Halima Mdee jimboni Kawe. Mbowe alijua kuwa Mdee alielekea kushindwa ile kesi ndipo akamwomba Mbatia aifute baada ya kuahidiwa msaada Wa kampeni.
Kwa upande Wa Lowassa na Mbowe, wameingia mkataba Wa muda utakaokoma baada ya matokeo ya urais kutangazwa. Ni kwamba Lowassa hana mpango Wa kuwa rais na anajua hatachaguliwa. Hivyo malipo ya bilioni 12 aliyoyafanya Lowassa kwa Mbowe ni sehemu ya masharti ya makubaliano hayo. Lengo la Lowassa ni kukiyumbisha CCM kwa kukiongezea chadema majimbo na wanachama. Mkitaka kuamini niyasemayo, subirini baada ya uchaguzi Dr Slaa atarejea Chadema kuendelea na kazi, Lowassa atajitoa chadema na kubaki mwanaccm asiyetambuliwa(kadi ya ccm anayo). Msioamnini subirini haka kamchezo kahovyo kabisa kuwahi kutokea.
ukawa ni zao la ccm lililo tokana na ccm kupinga na kubaka maoni ya wananchi ya katiba mpya, hapo awali hatukuwana ukawa. hilo dudu linalo itwa ukawa mmelitengeneza wenyewe kwa misimamo yenu ya hila na ulaghai wa kuhujumu taifa. msipo kuwa makini hili dudu li ukawa linaweza kuwatafuna..................
Kurudisha kadi ya CCM ni kuwapa heshima kubwa sana.. wajanja wana ichoma tu au kuchana chana
Kaiweka makumbusho
Habari!
Jamani nauliza LOWASSA alirudisha kadi ya CCM wakati anajiunga CHADEMA? Nauliza kwasababu kiutaratibu huwa mtu hurudisha kadi ya chama anachokihama kisha kukabidhiwa ya chama kipya. Lakini hili sikuliona wakati LOWASSA anajiunga CHADEMA au ndio kusema kwasababu ameinunua CHADEMA hakuna sababu ya kurudisha kadi ya CCM!
Utaratibu umeandikwa wapiHabari!
Jamani nauliza LOWASSA alirudisha kadi ya CCM wakati anajiunga CHADEMA? Nauliza kwasababu kiutaratibu huwa mtu hurudisha kadi ya chama anachokihama kisha kukabidhiwa ya chama kipya. Lakini hili sikuliona wakati LOWASSA anajiunga CHADEMA au ndio kusema kwasababu ameinunua CHADEMA hakuna sababu ya kurudisha kadi ya CCM!
Maswali mengine ni ya kitoto, je na wale walioamua kuzichoma kadi za CCM unawaongeleaje? Kama Lowassa kaamua kuichoma kama takataka ulitaka mpaka akualike ili ushuhudie?????????????????????:majani7: