Andrew Nyerere
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 3,007
- 2,468
Tunasubiri kuona ataamua nini.
Pole yako mkabila na mkanda wewe...bahati mbaya sana Bado Lowasa Nira shingoni pa CCM wapuuzi wakuu.Anawatosha kuwaweka busy hadi mjikute nje ya uwanja.Mlizoea wafanyia wengine sasa ni kwenu.Mlizoea piga vibao kila kitu sasa mmepiga bavi kibao .Tunasubiri kuona ataamua mini.
Hivi Makongoro ameishia wapi au bado anauguza vidonda? nimeamini JK kiboko hadi mtoto wa baba wa taifa dah!!Tunasubiri kuona ataamua mini.
Tunasubiri kuona ataamua mini.
Kwani anahitaji tena kufanya kitu...aliyoyafanya hana haja tena ya kuongea ila kuangalia.taayri avalanche imeshaanza by the time barafu zinafika chini kila kitu kinfagiwa kabisa.Sasa hivi anakausha tuu halfu CDM wanatangaza tuu wanaokuja kila kukicha.CCM waendelee mfunga mdogo .Nasubiri kwa hamu kuona atafanya nini next?
Pole yako mkabila na mkanda wewe...bahati mbaya sana Bado Lowasa Nira shingoni pa CCM wapuuzi wakuu.Anawatosha kuwaweka busy hadi mjikute nje ya uwanja.Mlizoea wafanyia wengine sasa ni kwenu.Mlizoea piga vibao kila kitu sasa mmepiga bavi kibao .
desperate looserAcha ushamba
kwani akiamua kuia ccm na ukiona imekufa ndio itakuwa nini?
Tunasubiri kuona ataamua mini.
haha...Kafa na key ya kutegua bomu na mlango wa kutokea ktk mtego.Starling kafa...
Tunasubiri kuona ataamua mini.
Mdogo wako Makongoro ameamua nini?
Makongoro amedhulumiwa kuwa rais. Lakini yeye halalamiki Kama Lowassa.
Andrew Nyerere ni kweli Baraza la usalama lilimpendekeza ...majina ya ...Makongoro amedhulumiwa kuwa rais. Lakini yeye halalamiki Kama Lowassa.