Amefanya mikutano 6 Leo na kwenda kuweka shada la maua kwenye kaburi la marehemu Peter Kisumo. Lowassa anakimbiza mwizi kimyakimya bila gita bila msanii, nyomi kama kawaida yake tushaizoea. Jumamosi Arusha itatetemeka jembe linatua.
Halafu kinachonifurahisha kwa sasa Mh. Lowassa anaonekana mwenye afya njema na maCCM hayana tena cha kuzungumza na push up yamepunguza baada ya kuona hazilipi tena.
Halafu kinachonifurahisha kwa sasa Mh. Lowassa anaonekana mwenye afya njema na maCCM hayana tena cha kuzungumza na push up yamepunguza baada ya kuona hazilipi tena.
Ukawa ni dawa Sisiemu ni sumu. Yaani kadiri siku zinavyosonga akiwa ndani ya Ukawa anafarijika, kwa nini afya isiwe njema. Waache wapiga pushup wakiteguka viuno India wataisikia Tbc na Rfa