Kuna wakati najaribu kuwaza mwenyewe, hivi hawa akina Mbowe, Lema, Tundu Lissu, Mnyika, Msigwa etc wanajua anachowawazia Lowasa moyoni mwake? Maana walizunguka karibu nchi nzima wakimwita fisadi na leo hii ameingia kwao kawapa na pesa zake na wamempa nafasi ya kugombea cheo cha urais. Nahisi akipata anaweza kugeuka ghafala na kuwashughulikia hawa watu. Ukiangalia hata sasa hivi kwenye kampeni namuona angalau Mbowe lakini ameshasuka team yake ya wana CCM B (Sumaye, Mgeja na Masha) n
tutashuhudia senema kali sana,hawataamini
akihama chama serikali inavunjika,tunarudi kwenye general election
tunajua Katiba inasema nini, Lowassa ni mgombea wa DHARULA, je, ni hekima kuwa na serikali ya DHARULA maana sio huyu Mheshimiwa akikaa CHADEMA kwa miaka 5 achilia mbali miezi mitatu.
Uteuzi wa mawaziri utaleta mgawanyiko mkubwa kati ya Mwenyekiti na Amri jeshi mkuu.
wanaokaa kuteua mawaziri,mwenyekiti wa chama anaingia kweli?
Hata Bakili Muluzi ni wa Malawi, na Kenneth Kaunda ni wa Zambia. Kwa mara nyingine unazidi kudhihirisha ujinga wako. achana na hii thread, umeanzisha kitu usichokijua. Anzisha thread nyingine, pengine inayohusu Taifa Starsmakosa ya uchapishaji, ni Bakili Muluzi. mwanajamvi ukifuatilia body ya historia si inaeleka, kwanini umeona tatizo moja tu?
Si inaeleweka Bingu alipewa uongozi na akabadili allegiance alipokuwa Raisi ?
Hata Bakili Muluzi ni wa Malawi, na Kenneth Kaunda ni wa Zambia. Kwa mara nyingine unazidi kudhihirisha ujinga wako. achana na hii thread, umeanzisha kitu usichokijua. Anzisha thread nyingine, pengine inayohusu Taifa Stars
no way,katiba itafanyiwa repair ili iendane na matakwa yake