UKIMCHUMBIA HUYO HALAFU UKAMWOA NAJUA NDOA ITAVUNJIKIA UKUMBINI BAADA YA KUMFUMANIA NA MC AKILA DENDABabarosa, natafuta mchumba. Are you single?
UKIMCHUMBIA HUYO HALAFU UKAMWOA NAJUA NDOA ITAVUNJIKIA UKUMBINI BAADA YA KUMFUMANIA NA MC AKILA DENDABabarosa, natafuta mchumba. Are you single?
Alivuna au alituibia??Mna chuki na Lowassa mlikuwa naye mda mrefuu leo hii mnajifanya mnakuja na kutapikia hapa hoja zenu mfu. Mwacheni ale bata alivuna bhana
mkamateni sasa jamani shida iko wapi??Alivuna au alituibia??
kwahivyo lowassa anawachunga ninyi mbuzi?
HaweziLeo hii???.... Huyo Rizi pia akiingia cdm atakuwa mtakatifu
Amechukuliwa hatua gani?Ushahidi upo kwenye ripoti ya mwakyembe iliyomtia hatiani mpk ikamfukuza uwaziri mkuu.
Amefukuzwa uwaziri mkuuAmechukuliwa hatua gani?
Small minds discuss people, great minds discuss issues.Huwezi kupata sense ya point ya mtoa post kwa vile ukiwa nyumbu , ni ngumu sana kufikiri vitu vya msingi, hivi uliwahi kumuona Mamvi wako amesaidia chochote kanisani au msikitini au ata kwa wananchi toka ameukosa urais?
Kafukuzwa?Amefukuzwa uwaziri mkuu
Yes kafukuzwa. Kujiuzulu kwa kulazimishwa ni sawa na kufukuzwa.Kafukuzwa?