kifarangaa
Member
- Jun 30, 2015
- 53
- 6
Fundi anazingua, hajamaliza kushona ila usijali subiri kampeni.
Ameondoka nayo dr slaa
Fundi anazingua, hajamaliza kushona ila usijali subiri kampeni.
Hapa mwendo ni mchaka mchaka mpaka Ikulu.
Kwanini havai gwanda lakini!
Siyo tu kuwa havai magwanda lakini hata zile sare za fulana na kofia za Chadema nazo 'hazigusi' mwili wake.
Inawezekana kimwili yupo Chadema lakini kiroho bado yupo Sisiemu.
Kwanini havai gwanda lakini!
View attachment 273359
Hatimaye Waziri Mkuu Mstaafu na Mgombea Urais kwa tiketi ya Chadema/UKAWA ndugu Edward Lowassa ahutubia baraza Kuu la Chadema
Katika hotuba yake Lowassa amesisitiza kuwepo na mshikamano na maelewano ndani ya chama kuelekea uchaguzi mkuu,huku akiwahakikishia wajumbe kuwa ushindi ni "lazima" maana mbinu na njia za "adui" zinajulikana
Kwanini havai gwanda lakini!
Unajua hili swali kila asie na maono ya mbali analiuliza lakin ngoja nikujibu wewe ukawaambie na wenzako...LOWASSA ameingia upinzan kupitia CHADEMA lakin ukumbuke kwa mujibu wa vyama vyote vi4 kufanya maridhiano hvyo kuegemea upande wa CHADEMA pekee kwa kuvaa GWANDA ni kuonyesha hali ya kuweka rahani micmamo ya wanachama wa vyama vingine..!!MBOWE NA LOWASSA wana BUSARA sana hvyo wametaka LOWASSA awe kawaida kabisa maana soon atakabidhiwa jukumu la kuviwakilisha vyama vi4 hvyo ni lazima awe negative kwa maslahi ya MUUNGANO vyama na watanzania kwa ujumla
Yani haya kama maigizo ya kina late Kanumba kweli pesa nomaView attachment 273359
Hatimaye Waziri Mkuu Mstaafu na Mgombea Urais kwa tiketi ya Chadema/UKAWA ndugu Edward Lowassa ahutubia baraza Kuu la Chadema
Katika hotuba yake Lowassa amesisitiza kuwepo na mshikamano na maelewano ndani ya chama kuelekea uchaguzi mkuu,huku akiwahakikishia wajumbe kuwa ushindi ni "lazima" maana mbinu na njia za "adui" zinajulikana
Unajua hili swali kila asie na maono ya mbali analiuliza lakin ngoja nikujibu wewe ukawaambie na wenzako...LOWASSA ameingia upinzan kupitia CHADEMA lakin ukumbuke kwa mujibu wa vyama vyote vi4 kufanya maridhiano hvyo kuegemea upande wa CHADEMA pekee kwa kuvaa GWANDA ni kuonyesha hali ya kuweka rahani micmamo ya wanachama wa vyama vingine..!!MBOWE NA LOWASSA wana BUSARA sana hvyo wametaka LOWASSA awe kawaida kabisa maana soon atakabidhiwa jukumu la kuviwakilisha vyama vi4 hvyo ni lazima awe negative kwa maslahi ya MUUNGANO vyama na watanzania kwa ujumla