Lowassa ahutubia Baraza Kuu la CHADEMA

Lowassa ahutubia Baraza Kuu la CHADEMA

Ngaliba Dume

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2010
Posts
1,710
Reaction score
3,685
ImageUploadedByJamiiForums1438624409.231123.jpg

Hatimaye Waziri Mkuu Mstaafu na Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA ndugu Edward Lowassa ahutubia baraza Kuu la CHADEMA.

Katika hotuba yake Lowassa amesisitiza kuwepo na mshikamano na maelewano ndani ya chama kuelekea uchaguzi mkuu,huku akiwahakikishia wajumbe kuwa ushindi ni "lazima" maana mbinu na njia za "adui" zinajulikana.
 
Kwanini havai gwanda lakini!
kwa sababu bado ni CCM damu na hajaingia CDMA kwa sababu ya kuvutiwa na sera wala itikadi zao bali anakitumia chama kama gari la kumwezesha kufikia malengo yake ya kuingia Ikulu.
 
Back
Top Bottom