King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,786
Hata sijui! Utajali kunijuza kama wajua?
Maulid kwani maana yake nini?
Maulid kwani maana yake nini?
Hahahaha kumradhi
Basi mkuu kaa vyote hivyo huvijui au unavijua juu juu, acha kuvitolea maelezo kwa sababu unapotosha
Ila kwa spidi aliyonayo,hata kama atafika 2015 akiwa bed ridden..achilia mbali kwenye wheel chair...,atagombea tu!
Ushauri wa bure..
Ajiunge rehab....
Mi nimemwona mwanasiasa huyu kwenye mkesha wa Maulid huko Kilosa,usiku wa kuamkia leo...kavaa suti kama ya dark blue,kasimama alongside mgeni rasmi (Mohamed Gharib Bilal),Ali Hassan Mwinyi,na wengineo...
Ila,ni kama ENL anadhoofu!
Waliotoa hotuba ni pamoja na Rais Mstaafu wa awamu ya pili.. Anaonekana ana siha bora zaidi na wajihi angavu zaidi kumlinganisha na ENL!!
watanzania na kauwezo kadogo ka kufikiri mnakimbilia ku judge by appearance'huo ni ujinga bana huwezi ku judge book kwa kusoma cover'some kitabu kizima'yule jamaa achana naye ni milionea hata ukichanganya ukoo wako wote hamumfiki hata nusu
Mbona Sumari aligombea akiwa bedridden akapata ubunge na unaibu waziri juu?! Chezeiya chama tawala eh! CCM wana uwezo wa kusimamisha mwanafunzi wa form II, wakamfanyia kampeni, wakamuibia kura, wakampa uwaziri, na akiogopa kusimama kusoma bajeti akasaidiwa vile vile!
Inasemekana ni sababu ya mitungi...
Ee Mwenyezi Mungu mjalie Lowassa afya njema ili atukomboe 2015.
Pole sana mkuu, nenda kitumbini pale kuna mbavu za spea ila kuwa makini usichukue za kichina, au ukifika pale muulize mchina anaitwa Lee Kum amot, atakupatiaha ha ha... Umenivunja mbavu sita wewe..za upande mmoja.. Mbili za upande mwingine zimecrack....ha ha ha...
Lowassa, alikuwa kwenye viwanja vya mnazi mmoja Dar es Salaam. Wala sio Kilosa, mbona alikuwa kwenye pozi tu kama kawaida yake...Lowassa ndiyo kimbilio letu Watanzania.
Hata Steve Jobs alikuwa milionea pia, magonjwa nouma mkuu.watanzania na kauwezo kadogo ka kufikiri mnakimbilia ku judge by appearance'huo ni ujinga bana huwezi ku judge book kwa kusoma cover'some kitabu kizima'yule jamaa achana naye ni milionea hata ukichanganya ukoo wako wote hamumfiki hata nusu
Mitungi ingekuwa sababu ya kudhoofika, ya kwanza kudhoofika ingekuwa jf! Hebu acha uchokozi, ntakusemelezea kwa paw!
Pole sana mkuu, nenda kitumbini pale kuna mbavu za spea ila kuwa makini usichukue za kichina, au ukifika pale muulize mchina anaitwa Lee Kum amot, atakupatia
mtu anatanga tanga huyu,si angekaa akashughulika na afya yake kwanza!hajionei huruma?
anakimbizana na muda mkuu si unajua kuingia pale magogoni kunahitaji maandalizi...lakini asipokuwa makini anaingia magogoni kashachoka...nadhani ujumbe atapata.
GT at work!
lowasa ni jibu la matatizo ya tz
Mi nimemwona mwanasiasa huyu kwenye mkesha wa Maulid huko Mnazi Mmoja,usiku wa kuamkia leo...kavaa suti kama ya dark blue,kasimama alongside mgeni rasmi (Mohamed Gharib Bilal),Ali Hassan Mwinyi,na wengineo...
Ila,ni kama ENL anadhoofu!
Waliotoa hotuba ni pamoja na Rais Mstaafu wa awamu ya pili.. Anaonekana ana siha bora zaidi na wajihi angavu zaidi kumlinganisha na ENL!!