Nenda kwenye page yake utaona mwenyeweeeeeee mweeePhoto Shop hiyo acha kuwahadaa watanzania ww.
![]()
Pole sana Lowassa, hii ndio balaa ya kuwa UKAWA.
Kitaalamu kumuinulia kiatu Kama hawa jamaa kwa kiongozi mkubwa ni matusi makubwa na haipendezi
Pole sana, you are in denial and panic after seeing your candidate getting tough opposition from thinkers who comprehended Dr. Slaa.Kweli mmeishiwa na mmebaki kufanya uzuzu ambao unazidi kuwaangamiza. Hii picha ya wauza viatu umeunganisha kwa nyuma ukaweka picha ya rais wetu mtarajiwa Lowassa!
Kitaalamu kumuinulia kiatu Kama hawa jamaa kwa kiongozi mkubwa ni matusi makubwa na haipendeziViatu visafi kabisa ikabidi nijiulize mzee wa kulialia ameweka lami huko kwao mpaka choooni ?
Ccm ogopeni Mungu. Acheni kuwapa fedha vijana na kuwavalisha kilofa ili wamfanyie lowasa mambo haya halafu mnadai ni Chadema wamemchoka! Vijana hawa wanafahamika kuwa ni ccm na wanasema mtaani baada ya kitendo hiki kuwa wamehongwa! Eti kwao hapendwi mtu bali noti!!!
Kitaalamu kumuinulia kiatu Kama hawa jamaa kwa kiongozi mkubwa ni matusi makubwa na haipendezi