ni kweli mkuuWapumbavu hunena wasiyoyajua kipumbavu, wenyema hekima ni akiba kuzima upumbavu uletwao na wapumbavu. wenye hekima na wafahamu!
ni kweli mkuuWapumbavu hunena wasiyoyajua kipumbavu, wenyema hekima ni akiba kuzima upumbavu uletwao na wapumbavu. wenye hekima na wafahamu!
Nimekubali tabia inaambukiza.Kikwete kawaambukiza UDINI.Thatha acha udiniLao moja na SLAA hawa, sasa sijui nani atasimama 2015, SLAA au LOWASA, manake naona akina Saanae wameanza kujikuna
Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli amedhihirisha nguvu kubwa na utajiri wa watu aliyonao, baada ya kupata mapokezi makubwa Mkoani Iringa.Lowassa amewasili Iringa asubuhi hii akiongozana na wabunge karibu wote wa mkoa wa Iringa,kwa ajali ya Harambee ya ujenzi wa kanisa na Kituo Cha radio Cha overcomers.viongozi wote wa Chama tawala Mkoani Iringa na Serikali nzima imempokea Mh Lowassa.
Pepo la UDINI la KIKWETE lishakupagawisha usipoongelea UDINI unahisi kifo.Maskini Mchungaji wa nguruwe hajaalikwa! Yuko bize kutetea vimini vihalalishwe Zanzibar.
Alistaafu lini? Mbona wa TZ ni wanafki? au ndio kutumiwa huko. sema kwa ujasiri WAZIRI MKUU ALIYESHINIKIZWA KUJIUZULU.Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli amedhihirisha nguvu kubwa na utajiri wa watu aliyonao, baada ya kupata mapokezi makubwa Mkoani Iringa.Lowassa amewasili Iringa asubuhi hii akiongozana na wabunge karibu wote wa mkoa wa Iringa,kwa ajali ya Harambee ya ujenzi wa kanisa na Kituo Cha radio Cha overcomers.viongozi wote wa Chama tawala Mkoani Iringa na Serikali nzima imempokea Mh Lowassa.
Wenye laana kama yako wapo wengi ulifikiri upo peke yako.a.k.a mchunga Nguruwe, Hahaa kaka, nilifikiri mimi peke yangu ndo majua hivyo kumbe tuko wengi
watu wanasema EL ni fisadi hawajui kuwa ameshatubu? kama kweli ni fisadi kama inavyosemekana. Mungu anasamehe
huyu EL ni kiongozi mchapa kazi watanzania wanafahamu, waulize watendaji wa halmashauri shughuli ya lowassa watakuambia. isitoshe watu wengine wanotajwa kuchuana nae kuwania urais CCM hakuna anemmweza mf;MEMBE SITA MIGIRO SALIM NCHIMBI MAKINDA WASIRA MAGUFULI MWAKYEMBE riz1 akikua sumaye etc wote hawa hawamuwezi labda kwa Dr.Slaa ndo atakuwa na kazi.
Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli amedhihirisha nguvu kubwa na utajiri wa watu aliyonao, baada ya kupata mapokezi makubwa Mkoani Iringa.Lowassa amewasili Iringa asubuhi hii akiongozana na wabunge karibu wote wa mkoa wa Iringa,kwa ajali ya Harambee ya ujenzi wa kanisa na Kituo Cha radio Cha overcomers.viongozi wote wa Chama tawala Mkoani Iringa na Serikali nzima imempokea Mh Lowassa.
hapo umenena mm ningeshauri wampe hata nafasi ya kugombea Urais kwa tiketi ya CDM kwani si ajabu hata huko Kenya kina Kenyatta na Odinga walihama Vyama vingi tu wakiuwania UraisAnaandaliwa na CDM kuchukua nafasi ya SLAA, wanaona anafiti kutokana na kuwa mkristo kuliko kumpa ZITTO nafasi hiyo.
Kabisa,kazi ameifanya
kwakweli. Kwa mwendo huu tuna sababu ya kujivunia. Kwa harakaharaka tu
jaribu kupiga hesabu kiwango cha michango yake katika ujenzi wa
makanisa. Siipendi CCM (Chama Cha Mafisadi) lakini kwa hili niko pamoja
naye.
Kijana upo?
Vipi umeacha kutembea na sumu mfukoni?
Sitta alishauri tuwaepuke hawa watuWaziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli amedhihirisha nguvu kubwa na utajiri wa watu aliyonao, baada ya kupata mapokezi makubwa Mkoani Iringa.Lowassa amewasili Iringa asubuhi hii akiongozana na wabunge karibu wote wa mkoa wa Iringa,kwa ajali ya Harambee ya ujenzi wa kanisa na Kituo Cha radio Cha overcomers.viongozi wote wa Chama tawala Mkoani Iringa na Serikali nzima imempokea Mh Lowassa.
Mkuu usidharau hiyo. Huyu bwana tumemlipia 152 m kila siku kwa takriban miaka miwili pasipo kuzalisha chochote kuptia RICHMOND yake. Anao uwezo wa kuwahonga wananchi wengi sana. Kwa umaskini uliotamalaki, anaweza kuwarubuni wengi.kwa iringa nayoijua hakuna mtu wa kumpokea iringa, ni hayo makina ya waroho wa pesa chafu ndo watampapatikia.
Heading iwe 'Lowasa afunika kanisani la waroho'
Bahati mbaya sana, Sitta naye ni jambazi mkuu.Sitta alishauri tuwaepuke hawa watu