sammosses
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 1,682
- 1,110
Watafanya sana vikao lakini haitasaidia kitu.Ubabe wa Goliath ulizimwa na mfalme Daud.Nguvu ya umma ni sauti ya Mungu,nusura ya Mungu imewadia japokuwa Shetani hujikongoja na kuonyesha kutokubali kushindwa.Udhalimu,ufisadi na uzandiki vimefika kikomo chake.Haki ya mtu haiombwi kama kipande cha mkate,ni suala la wakati tu.Ushindi wa Arumeru ni Ishara ya mabadilko kuelekea ushindi thabiti toka mikononi mwa wakoloni weusi.Na bado uzee wa simba si ujana wa fisi,kila lenye mwanzo lina mwisho