Lowasa kulihutubia taifa leo kupitia Azam tv

Lowasa kulihutubia taifa leo kupitia Azam tv

taarifa bomu kama hizi bure kabisa.....muda huweki..ndio nini?
 
Kwa mujibu wa taarifa aliyotoa Katibu mkuu msaidizi Zanzibar Salum Mwalimu Mheshimiwa Lowasa atalihutubia taifa kupitia kituo cha Azam tv.

saa ngapi? ila bora wangechukua itv kwa maana ya coverage. azam wabaguz
 
Kwa mujibu wa taarifa aliyotoa Katibu mkuu msaidizi Zanzibar Salum Mwalimu Mheshimiwa Lowasa atalihutubia taifa kupitia kituo cha Azam tv.

Mkuu nitonye atahutubia saa ngapi?
 
Back
Top Bottom