CCM inadharau sana wananchi wake... yaani kweli wanataka kutuambia EL kawa msafi lini???!!! Yaani huo ni moja ya misumari ya jeneza la CCM. Mungu anaona haya... Ni dharau nasema tena NI DHARAU kwa sisi wananchi!!! Halafu bado utaona mijinga inajipanga kuendelea kuisifu CCM... Bull Shit!!!!!!