Nteko Vano
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 434
- 111
Lowasa hana jipya, anataka aingie madarakani ili wajilinde mafisadi... Asubiri tu kuning'inizwa na Rais ajae. Alipewa nafasi ameshindwa kuitumia....ni hivi anavyoutafuta kwa nguvu atakuwa kama swahiba wake tu. Ila hii nafasi hataipata kamwe.
"Ukiona mtu anaogelea baharini usiku ujue ana ajenda na vibwengo"
"Ukiona mtu anaogelea baharini usiku ujue ana ajenda na vibwengo"