Katika taarifa ya habari ya saa moja na nusu leo nimemsikia waziri mkuu aliyejiuzuru kwa kashfa ya richmond amesema kuwa hakuna wa kumkata jina na aoni sababu ya kukatwa jina! Alianza kazi mwaka 1977 amekua mtumishi wa chama hicho na hajawah ajiliwa serikalin! lowassa Ameyasema hayo alipokua ruvuma leo! Hii itanogesha upasukaji na mgawanyiko wa chama hicho kama ilivyotokea kwa KANU! na kutoa mwanya wa wapinzan kwenda ikulu!