Lowasa chaguo la Mungu

Lowasa chaguo la Mungu

Msaranga

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2009
Posts
956
Reaction score
229
Kwa kweli naomba niwaeleze watanania wenzangu kuwa lowasa ni chaguo la mungu popote pale aendapo watu wanamkubali.kashfa kibao wanazompachika zinajipangua zenyewe.mabaya yote juu yake yanayopangwa yanafichuka.ni MTU sahihi kuwakomboa watanzania.ni mcha mungu .kwenye kampeni zake ni mataarabu sana hatukani MTU anatoa hoja.kila laheri rais wetu lowasa
 
Kwa kweli naomba niwaeleze watanania wenzangu kuwa lowasa ni chaguo la mungu popote pale aendapo watu wanamkubali.kashfa kibao wanazompachika zinajipangua zenyewe.mabaya yote juu yake yanayopangwa yanafichuka.ni MTU sahihi kuwakomboa watanzania.ni mcha mungu .kwenye kampeni zake ni mataarabu sana hatukani MTU anatoa hoja.kila laheri rais wetu lowasa

Hata MISUKULE Nayo Ni Miungu Vile Vile. Lowassa Ni Chaguo La Miungu Ya KISUKULE.
 
Nabii TB Joshua alishatabiri lowasa atakua rais Tanzania ila alisema atakumbana na pingamizi nyingi sana na mwishoni atafanikiwa
 
Lowassa ni CHAGUO LA MUNGU...

ANAYEPINGA ni SHETANI CCM tu...!!

Lowassa ana UPAKO wa Mungu wa Mbinguni...!!!
 
Gwajima naye alisema ni majira yake haya tangu mwaka jaa alipomwita kuzindua helcopter yake
 
Nabii TB Joshua alishatabiri lowasa atakua rais Tanzania ila alisema atakumbana na pingamizi nyingi sana na mwishoni atafanikiwa
Anatabiri kuhusu Tanzania, kama ana uwezo wa ku foretell linalokuja mbona alishindwa kutabiri vifo vya waumini wake walio poromokewa na kuta za kanisa lake, anakwenda kusingizia mungurumo wa helikopta eti ndio kilikuwa chanzo cha maafa.
 
Lowassa ni chaguo la Mungu aliye hai...alipo tupo
 
Hata Osama alivyokuwa anawauwa watu alikuwa anamtaja mungu, hata yule wa ISIS naye alivyokuwa anachinja watu alikuwa anamtaja mungu, mchawi naye anaomba mungu.

Kwahyo hujakosea kusema ni chaguo la mungu ila sijajua ni mungu yupi unayemsema ww.

Ila mm ninachojua ni kuwa lowasa hawezi kuwa chaguo la Mungu huyu Mungu mkuu muumba wa mbingu na nchi na vitu vyote vinavyoonekana na visivyo onekana.
 
Back
Top Bottom