"Lowasa andika kitabu kuhusu maisha ya upinzani miaka 3 kuelekea 2020"

Vision 2030

JF-Expert Member
Dec 10, 2017
407
250
"Umuhimu wako ni pale ulipoonekana fisadi ukiwa ndani ya CCM ukasemwa na kutukanwa sana na wanasiasa wenzako ndani ya CCM ,ukachafuliwa na upinzani,Ukasafishwa na upinzani huku ukichafuliwa na wanaCCM wenzako na sasa unasafishwa na wanaCCM wenzako na tegemea kuchafuliwa tena na Upinzani" ni maisha Fulani amazing,andika kitabu kuelekea 2020 tujifunze mengi kupitia kwako kwa vizazi vya watanzania vijavyo.
 
"Umuhimu wako ni pale ulipoonekana fisadi ukiwa ndani ya CCM ukasemwa na kutukanwa sana na wanasiasa wenzako ndani ya CCM ,ukachafuliwa na upinzani,Ukasafishwa na upinzani huku ukichafuliwa na wanaCCM wenzako na sasa unasafishwa na wanaCCM wenzako na tegemea kuchafuliwa tena na Upinzani" ni maisha Fulani amazing,andika kitabu kuelekea 2020 tujifunze mengi kupitia kwako kwa vizazi vya watanzania vijavyo.

Alishindwa kuandika kitabu cha maisha yake ndani ya miaka 30 aliyokaa ccm ndio ataweza miaka mitatu aliyokaa upinzani? Muambie Magu aandike maana ndio kakopa 20t in 3yrs huku kila mradi anasema anajenga kwa fedha za ndani na hakuna mtanzania anayehoji.
 
Alishindwa kuandika kitabu cha maisha yake ndani ya miaka 30 aliyokaa ccm ndio ataweza miaka mitatu aliyokaa upinzani? Muambie Magu aandike maana ndio kakopa 20t in 3yrs huku kila mradi anasema anajenga kwa fedha za ndani na hakuna mtanzania anayehoji.
"Mjadala ni wa Lowassa please sio Magufuli"
 
Back
Top Bottom