Low price for new high quality projectors.

Low price for new high quality projectors.

MART

Member
Joined
Mar 8, 2010
Posts
5
Reaction score
0
Model:Clearco HD9000 Model-with latest LCD Technology from UK.
Brightness: 1800 lumen!!
Contrast ratio: 1000:1
Resolution: compatible with 1024*768 with a 800*600
Native Resolution.
Lamp life:8000 hrs(New Technology)
Projection Distance: 1.5 to 6 metres.
Projection size: 45"-150 (massive) Zoom function Equipped.
Body size: 280mm x 230 x 80m (slim-line)
Interfaces: Video inputs😛C,TV,VIDEO,AUDIO,S VIDEO,SCART ADAPTER AVAILABLE.
Output: video,Audio
Speaker:3w stereo speaker
other functions:keystone correction,auto turn off,built-in TV turner(watch tv at your leisure),ZOOM Function.
*cheap replacement bulbs(taa)-ziko nyingi na bei nafuu sana kupita projectors zote halafu ni masaa 8000.
perfect for games😛S2,XBOX and NINTENDO!
pia ni perfect for business presentations:microsoft power point,Excel or Word.
Pia unaweza kodisha kwenye shughuli za maharusi,Watch soccer n.k
-Kwa ma lecturers, mashuleni na vyuoni.
** Hii ndio latest technology ya projector ambayo watu wengi wana itumia kwa sasa
ina connect kwenye DIGITAL TV Yeyote/DSTV

Note:more special price reductions for educational institutions,churches and all other religious institutions.
Free delivery within Tanzania.
For more products' informations and prices please call:0713846454 au 0713363666.

Thank you.
 
Umesoma replies za thread uliyopost mwanzo?
 
Model:Clearco HD9000 Model-with latest LCD Technology from UK.
Brightness: 1800 lumen!!
Contrast ratio: 1000:1
Resolution: compatible with 1024*768 with a 800*600
Native Resolution.
Lamp life:8000 hrs(New Technology)
Projection Distance: 1.5 to 6 metres.
Projection size: 45"-150 (massive) Zoom function Equipped.
Body size: 280mm x 230 x 80m (slim-line)
Interfaces: Video inputs😛C,TV,VIDEO,AUDIO,S VIDEO,SCART ADAPTER AVAILABLE.
Output: video,Audio
Speaker:3w stereo speaker
other functions:keystone correction,auto turn off,built-in TV turner(watch tv at your leisure),ZOOM Function.
*cheap replacement bulbs(taa)-ziko nyingi na bei nafuu sana kupita projectors zote halafu ni masaa 8000.
perfect for games😛S2,XBOX and NINTENDO!
pia ni perfect for business presentations:microsoft power point,Excel or Word.
Pia unaweza kodisha kwenye shughuli za maharusi,Watch soccer n.k
-Kwa ma lecturers, mashuleni na vyuoni.
** Hii ndio latest technology ya projector ambayo watu wengi wana itumia kwa sasa
ina connect kwenye DIGITAL TV Yeyote/DSTV

Note:more special price reductions for educational institutions,churches and all other religious institutions.
Free delivery within Tanzania.
For more products' informations and prices please call:0713846454.

Thank you.


bei
 
Kwa maulizo yote ya BEI ,piga simu au tuma ujumbe mfupi kwenda kwenye hii namba : 0713 -846454 au
0713-363666.

Thank you.
 
Kwa maulizo yote ya BEI ,piga simu au tuma ujumbe mfupi kwenda kwenye hii namba : 0713 -846454.

Thank you.

ushauri wa bure.
Kwa kuwa wewe ni mgeni, inawezekana haujafahamu watu wa humu walivyo.
Hapa watu wanataka price tag ili kabla hawajahangaika kukupigia simu waffanye ulinganifu na kuona kama kuna umuhimu wa kukutafuta! Uki-insist watu wakupigie simu watahisi unaziogopa bei zako mwenyewe, hivyo utawakosa wengi tu. Ungetake time kwanza kujaribu kuangalia adverts za wazoefu wa marketing humu ndani (watu wanauza kila kitu kuanzia mashamba, viwanja, nyumba, magari, na hata vitabu) wanajitahidi kuweka bei na hata picha, inasaidia sana, hata wewe inakuepushia usumbufu wa kupigiwa simu na watu wasiokuwa serious buyers! si unajua wabongo zetu window shopping! Kama unaziamini bei zako weka hadharani, vinginevyo JF (where we dare talk openly ) haitakusaidia sana, na baadaye itabidi ulipe kodi mzee.
Karibu Jf
 
ushauri wa bure.
Kwa kuwa wewe ni mgeni, inawezekana haujafahamu watu wa humu walivyo.
Hapa watu wanataka price tag ili kabla hawajahangaika kukupigia simu waffanye ulinganifu na kuona kama kuna umuhimu wa kukutafuta! Uki-insist watu wakupigie simu watahisi unaziogopa bei zako mwenyewe, hivyo utawakosa wengi tu. Ungetake time kwanza kujaribu kuangalia adverts za wazoefu wa marketing humu ndani (watu wanauza kila kitu kuanzia mashamba, viwanja, nyumba, magari, na hata vitabu) wanajitahidi kuweka bei na hata picha, inasaidia sana, hata wewe inakuepushia usumbufu wa kupigiwa simu na watu wasiokuwa serious buyers! si unajua wabongo zetu window shopping! Kama unaziamini bei zako weka hadharani, vinginevyo JF (where we dare talk openly ) haitakusaidia sana, na baadaye itabidi ulipe kodi mzee.
Karibu Jf

Ushauri wako ni mzuri sana, nashangaa huyu muuzaji haoneshi bidhaa zake kwa picha ili tuzione! Sidhani kama kuna umuhimu wa kumpigia simu au kutuma sms kwa mtu kama huyu!
 
Ushauri wako ni mzuri sana, nashangaa huyu muuzaji haoneshi bidhaa zake kwa picha ili tuzione! Sidhani kama kuna umuhimu wa kumpigia simu au kutuma sms kwa mtu kama huyu!

ugeni ndiyo unamsumbua.
 
hawa ndio wale wanataka kutake advantage ya ignorance ya mteja,lakini nasikitika adhma yake haitatimia kwa sababu simply jamii forums is a home of great and deep thinkers.
 
hayuko serious!
Unafichaficha nini au ndo mtu wa kati?weka bei!
 
Back
Top Bottom