Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,359
Sawa nitakuachia na ya uzeeni pia sikuchuni kihivyo jamani nimekuita uje urelaxNimeshakata tiketi ya Jumatano, Wacha nije nidekezwe wakati huu wa Uzee wangu ππ€
Ila hakikisha unaniachia nauli ya kurudi nyumbani, maana hamchelewi kumaliza akiba yote ya Benki
Utakuwa umefanya vyemaSawa nitakuachia na ya uzeeni pia sikuchuni kihivyo jamani nimekuita uje urelax
Mie sikukomoi babu wala mie sio maraya nimeona tangazo la massage nikaona nikupe hii ideaUtakuwa umefanya vyema
Nakumbuka Mzee mwenzangu mmoja alimalizwa Hela zote za Pension Mwaka 1997 alipokutana na Wajuzi wa mambo huko Mjini.
Huwezi amini nauli ya kurudia nyumbani tulifanya kumchangia wenzake ππ
Da maua utapeli huo πππBasi njoo Arusha nikuhug na massage kidogo urudi ujanani . Kuna massage palace fulani walahi utakuwa unakuja kila mara
πππKumbe...
Babu mbona unaogopa ww si ufike kwanza π€£π€£π€£Utakuwa umefanya vyema
Nakumbuka Mzee mwenzangu mmoja alimalizwa Hela zote za Pension Mwaka 1997 alipokutana na Wajuzi wa mambo huko Mjini.
Huwezi amini nauli ya kurudia nyumbani tulifanya kumchangia wenzake ππ
Khaaa!! πππNjoo udekethwe uwe mdogo na urelax uwaze usingizi mnono
π€£π€£π€£π€£ Mi sitaki jamani da mauSawa nitakuachia na ya uzeeni pia sikuchuni kihivyo jamani nimekuita uje urelax
Usijali, huu ni utani wa Babu na Mjukuu πMie sikukomoi babu wala mie sio maraya nimeona tangazo la massage nikaona nikupe hii idea
Ila ukija weh tunaenda kununua nguo za mie niwe sex ni scrubiwe mwili ning'ae nikushughulikie pole pole najua kuwwshughulikia age zenu msidhurikeUsijali, huu ni utani wa Babu na Mjukuu π
Kwanini jamani namrudishaπ€£π€£π€£π€£ Mi sitaki jamani da mau
Akija tu namfungia nampa vizuri na massage juu baada ya roubd one nampikia kaugali na maini nakamboga katamu end then maji yakutosha halafu ndio massage halafu anaoga anaangalia tv kidogo namkanda tena halafu tunaendelea goli tatu mzee atakuwa fiti tunatoka ijioni outing tukirudi analaka asubuhi sana namtengenezea chai yakuamsha engine basi mzee baba gari unaamka nakupakiza abiriaDa maua utapeli huo πππ
Da maua unanipa raha miye πππKwanini jamani namrudisha
Eh imekuwa tangazo
Mje mfundwe huku Joannah Missy Gf Tayana-wog ππππAkija tu namfungia nampa vizuri na massage juu baada ya roubd one nampikia kaugali na maini nakamboga katamu end then maji yakutosha halafu ndio massage halafu anaoga anaangalia tv kidogo namkanda tena halafu tunaendelea goli tatu mzee atakuwa fiti tunatoka ijioni outing tukirudi analaka asubuhi sana namtengenezea chai yakuamsha engine basi mzee baba gari unaamka nakupakiza abiria
Hahaha...........kauli yangu itakuwa ni Moja tu, inakutosha shilingi ngapi πIla ukija weh tunaenda kununua nguo za mie niwe sex ni scrubiwe mwili ning'ae nikushughulikie pole pole najua kuwwshughulikia age zenu msidhurike
Nawaita waje wachukue notes πππEh imekuwa tangazo
Kumbe na umbea unao daah. 52 years?? Very stupid.Mkuu,
Kwamba kweli watu wanajali sana na kuona the man is "man enough"! Nyie mmeamua kuichangamsha mmu tu na sisi tunaenda na flow, binafsi tu nahisi its staged, hakuna uhalisia coz jamaa kama kweli ni man enough hawezi kula na kupiga kelele. Mnatuchangamsha sana...
Wacha weee πππHahaha...........kauli yangu itakuwa ni Moja tu, inakutosha shilingi ngapi π