We nawe itabidi nikuanzishie uzi ulivyotaka kutapeliwa ππππ©π©Mbona USA jmn
Nachekaππππ
Nafurahi nimelijua hiloππNimesema hadharani?
Tafadhali πππWe nawe itabidi nikuanzishie uzi ulivyotaka kutapeliwa πππ
Mbona wao wanakuja kutuchamba wanawake
Nakuanzishia shoga angu alitaka kutapeliwa na mwanaume wa mkoani aliyejifanya anatokea USA πΊπΈππππTafadhali πππ
Sitaki umaarufu humu
Maana ukianzisha Uzi nitakua maarufu mie sitaki
Tunasubiri mageuzi kutoka nyumba ndogo π€£π€£π€£Haya tokeni waachieni uzi wao wabebishane
Wewe mbea friji haligandishiπππNakuanzishia shoga angu alitaka kutapeliwa na mwanaume wa mkoani aliyejifanya anatokea USA πΊπΈππππ
πππ Nyie mnaosemaga hivi ndio mko kwenye mahaba ndindindi sema wasiriiiiiiNdugu yangu nani wa kunipa mahaba mei cheusi mangara?
Dogo upo? Za kupotea?π€π€
Umbea nauweza na unanipenda haswaah!! πππWewe mbea friji haligandishiπππ
Niwache plsπππNakuanzishia shoga angu alitaka kutapeliwa na mwanaume wa mkoani aliyejifanya anatokea USA πΊπΈππππ
Poleeeπ₯π₯π₯π naweka comment kwanza then nisome uzi wote ayee!
πππππIla weTunasubiri mageuzi kutoka nyumba ndogo π€£π€£π€£
π€£π€£π€£π€£ Ww shukuru nimekusanua, ulikata visa ya kwenda mkoani ujue!!Niwache plsπππ
Anitapeli mie mtt wa mjini thubuuuu yake
Halafu kapoteza ,au kajua tumesanulaπππ
Nasubiri come back ya wifi yangu ndo nitaondoka ππππππππIla we
Kwahiyo sote ni wakaiwaππHata mimi ni mkiwa wa mapendo. Inabidi umuulize mahindaw anawezaje andikiwa text nzito za kizungu π, ongea na watu vizuri