Loving you Mahondaw

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapana chezea UBOO, hii kitu inasimama dede na haina miguu, inafanya mtu utamke usiyoyajua, wekaa mbali na wahitajiii.

UBOO na uheshimiwe. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan engineer,

Uboo ndio kitu gani?? Huoni unetukana? Ngoja upigwe bani
 
Uwepo wako Bwana uwe namiπŸŽ»πŸŽΉπŸŽ™οΈπŸŽ€ombi langu Bwana wangu peke yangu sitaweza
Uwepo wako Bwana uwe nami.....

πŸ™Jmn badae
 
Niambie da maua
Kuhusu wadada hawa wazuri na wenye kazi nzuri au hela wananjia zao zakuwachukulia wenzao nyota.
1. Kwa kukualika nyumbani ulale.
Wanakushtukizia hujajiandaa kwa hiyo unatumia vitu vyake .mf. khanga yakuogea ,nguo zake na pia hata ndala na viatu vyake .
Usiku nakuja kichawi anakukata nywele ,kucha , nywele za sehemu zote .

2. Kukupigia simu kila ukitarajia jambo lako halafu wewe unakosa hilo jambo lako yeye analivutia kwake. Kila mara . Unakuwa hivyoo.

3. Wengine wanakuja kwako wanaiba nguo za ndani,nguo za kawaida ,chana ,wanaenda kuhamishia nyota yako kwao wanapatia kazi , na waolewa pia kupitia wewe na mambo yako yanakwama ndio hivyoo
 
sasa vyote hivyo unavipataje wakati unasambaza mahaba kwa umpendae au ulishapindua meza
ID's hazina uhalisia wowote
hizo nguvu za kumwaga angalia usijemwaga ubongo
Nitakuweka bakora "nguvu za kumwaga -nguvu za kutosha"πŸ˜…

Sina ndugu mwenye akili hii,au umepuliza bangi kidogo?

Meza haipinduki .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…