Loving you Mahondaw

Loving you Mahondaw

Kuhusu wadada hawa wazuri na wenye kazi nzuri au hela wananjia zao zakuwachukulia wenzao nyota.
1. Kwa kukualika nyumbani ulale.
Wanakushtukizia hujajiandaa kwa hiyo unatumia vitu vyake .mf. khanga yakuogea ,nguo zake na pia hata ndala na viatu vyake .
Usiku nakuja kichawi anakukata nywele ,kucha , nywele za sehemu zote .

2. Kukupigia simu kila ukitarajia jambo lako halafu wewe unakosa hilo jambo lako yeye analivutia kwake. Kila mara . Unakuwa hivyoo.

3. Wengine wanakuja kwako wanaiba nguo za ndani,nguo za kawaida ,chana ,wanaenda kuhamishia nyota yako kwao wanapatia kazi , na waolewa pia kupitia wewe na mambo yako yanakwama ndio hivyoo
Kumbe mambo ndio yapo hivo
Mungu atusaidie sana,Mimi nilikuwa najua maranying mambo yanakwama pale unapomwambia mtu mafanikioyako wengi Huwa hawapendi kumbe had nguo wanabebakwaajili ya mamboyao binafsi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom