Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,359
Hichi cha kulewa siipendi kwa maana mie sio mlevi na sinywi pombe nakunywa soda so mambo haya ya ulevi sipendi mtu aniambie hivyoi sipendiMaua wangu ππππ
Supu umekunywa da mau?? Ujue jana ulilewa sana
Hapana hauhusiani na haya Mamboπ€£Hatutakii kufukua makaburiπππ
Hapana wamekuiba tayariπ.Shida yako tu,unataka niwatukane matusi JF ladies waliopo kwa kukufananisha nawe.
Unanipatia dhambi wazi wazi,kwanza una kesi yako "ya mimi kupewa vitisho na vijana wa JF"
Nimeona mzeiyaaπ€£π€£Jana nilikuwa busy sana π€£π€£π€£
Tulia wewe π€ΈββοΈπ€ΈββοΈHichi cha kulewa siipendi kwa maana mie sio mlevi na sinywi pombe nakunywa soda so mambo haya ya ulevi sipendi mtu aniambie hivyoi sipendi
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Mi nachangamsha kijiwe..!!
Kote nipo ujue, huku kuna udugu wangu..!!
Kule kuna mawifi zangu.. pambe tyuuu!!
Unataka nikienda daraja mbili wifi zangu waninunie??? πππ
Leo nataka nikujibu ulichoniuliza ile siku sijawezaππSina hizo mambo,undugu ni Bora zaidi
Vipi wewe utakubali?
Na wewe kuwa malayer wizo π€£π€£π€£Yani liuzi la kimalaya linapata comments nyingi hivii wakati uzi wangu wa maswala ya biblia una comments tatu.
Hili nalo mkalitizama.
Ni kweli ila hiyo department sitaki tafuta kitu kingineTulia wewe π€ΈββοΈπ€ΈββοΈ
Da maua hapa tunataniana bana..!!πππ
HahahahahaaYani liuzi la kimalaya linapata comments nyingi hivii wakati uzi wangu wa maswala ya biblia una comments tatu.
Hili nalo mkalitizama.
Yaniburudishaa nikirukaruka hosana ameninani burudisha nikiyumba yumbaa osaaaana ameeeen πΆπΆπΆπΆπΆπ₯
Niambie da mauaLeo nataka nikujibu ulichoniuliza ile siku sijaweza
Haijawahi kuwepo atold you the man is safe and clean!Zilienea habari, kwamba kuna UTI na gono sugu vinasambazwa makusudi, including kubwa....sasa nashindwa kuelewa, was it mbinu za kijeshi kuurudisha utawala au niaje.
nina siri nayeeee π€Yaniburudishaa nikirukaruka hosana amen
Haya editπ€£
Wifi kaka hakuna wa kumbeba pesa hana..!!Wajanja wameshakubebaπ’
π€£π€£π€£Maho/AntoUweeee sema kweli ???π€ π€!
Sikuhizi amefurahi na amechangamkaaa balaaaa!
Nafurahi sana kumuona smart akiwa amefurahi kiukweli!
Wataniiba vipi na hawanijui,wewe wanakujua huko,tena vizuri tu.Hapana wamekuiba tayariπ.
Hao wanaokupa vitisho waambie washindwe na walegee. Kwanza hata siwajuiπ°
πππWifi kaka hakuna wa kumbeba pesa hana..!!
Huyu wa kwako peke yako, nani amtake bwana apeche alolo πππ
Usinikwoti sasa tuliaNi kweli ila hiyo department sitaki tafuta kitu kingine
Wifi zangu kina manka wanaangalia pochi buanaaa.!!! π€£π€£π€£πππ