Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,611
ngoja nikafuturu tena umenikumbusha byewewe leo umekaa kisharishari tu. Hujapata mtu wa kwenda kufuturu naye?
ngoja nikafuturu tena umenikumbusha byewewe leo umekaa kisharishari tu. Hujapata mtu wa kwenda kufuturu naye?
hahahah nilitaka nisikie wewe unasemaje hapo
Hebu njoo huku nikufunze, nione kama ntakuwa na kazi kama aliyokuwa nayo mwalimu wangu.Hahaaaaaaaaa babu! mwalimu wako alikuwa na kazi ngumu sana.
I really like this, but what about affinity and a feeling of love that comes from the heart? Simple love that comes from the heart is a basis that withstands the test of time. Love from heart is different than "chemistry"
......... may be here but not sure
In your own words what is love and do u believe in that love you have to your gal or even to your friend. Is it real love or just by the way love or because of something or a conditional love
Halafu wewe Mvua ya Kiangaz mambo gani ya kuleta thread halafu unapiga buyu lol!!
<br />am vere soreee, mada iliknizidi utamu.lakini haiko na shida twende kazi kaka......................
MJ1 mambo mengine huwaga tunayagumisha (nimeliunda mwenyewe hili neno na sijui kama lipo kwenye kamusi ya mtu) tu sisi wenyewe. Kuyafasili mapenzi kwa lugha yetu ya Kiswahili wala siyo vigumu kama unavyodhania. Mapenzi ni dhana. Ni dhana inayofurahisha nafsi. Ni dhana inayomfanya mtu ajisikie naye ni mtu katika watu. Ni dhana yenye utamu na machungu. Ni dhana inayoweza kuleta raha na shida.
Ni dhana inayoweza kumpatia mtu wasiwasi ama amani. Ni dhana inayoweza kumfanya mtu ajione yuko kwenye dunia tofauti kabisa na wengine. Ni dhana inayoweza kumfanya mtu augue au awe mwenye afya.
Nasema mapenzi ni dhana kwa sababu mapenzi siyo kitu. Mapenzi hayashikiki, mapenzi hayaonekani huwezi ukanyoosha kidole na kunionyesha eti yale ndiyo mapenzi, mapenzi hayana rangi na wala hayana harufu.
Mapenzi ni dhana iliyopo kichwani. Kutoka kichwani inaelekea moyoni. Ikitoka moyoni inaelekea usoni. Ikitoka usoni inaelekea tumboni. Na ikitoka tumboni inasambaa mwili mzima.
<br />
<br />
Naona ulikuuwa unajipanga ili uje kiuhakika mkuu
Love Redefined....