Asanteni kwa wote mlioniandikia jumbe pm
Nimetoa namba kwa mtu mmoja tu ambaye aliugusa moyo wangu.
Bado tunafahamiana kama marafiki na ikimpendeza Mungu tutakuwa wachumba, nashukuru kwa ushauri wenu mzuri katika post yangu nitauzingatia sana
Naomba mtuombee tu na kututakia mema
Asanteni Mungu awabariki wana Jf wote
#Pm imefungwa.
Sent using
Jamii Forums mobile app