DR SANTOS JF-Expert Member Joined Mar 11, 2019 Posts 13,902 Reaction score 31,156 Oct 24, 2021 #1 Unaempenda hakupendi kumbe naye ana mtu ampendaye Huyo anayependwa naye hampendi anayempenda huku naye kuna mtu anampenda na yeye hapendwi Mpenzi mliyekutana accidentaly mtadumu kuliko hata ulomtegemea kwamba mngedumu Kwenye mapenzi ombea mwanamke ndio akupende zaidi huyo atavumilia. Ila usiombe upende mwanamke ambaye hakupendi hutoboi Utaenjoy sana mapenzi ukipata mtu sahihi Finally tunaumizwa na watu tulowaamini sana, na wanaokuja kutufariji ni watu baki kabisa
Unaempenda hakupendi kumbe naye ana mtu ampendaye Huyo anayependwa naye hampendi anayempenda huku naye kuna mtu anampenda na yeye hapendwi Mpenzi mliyekutana accidentaly mtadumu kuliko hata ulomtegemea kwamba mngedumu Kwenye mapenzi ombea mwanamke ndio akupende zaidi huyo atavumilia. Ila usiombe upende mwanamke ambaye hakupendi hutoboi Utaenjoy sana mapenzi ukipata mtu sahihi Finally tunaumizwa na watu tulowaamini sana, na wanaokuja kutufariji ni watu baki kabisa
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Oct 24, 2021 #2 Mzee umepigwa tukio nini Mapenzi yanatesa mno kudadeki Kuna mjinga nilimpenda akaniwasha tukio maridadi sana😁 Mapenzi yakikuda mno
Mzee umepigwa tukio nini Mapenzi yanatesa mno kudadeki Kuna mjinga nilimpenda akaniwasha tukio maridadi sana😁 Mapenzi yakikuda mno
DR SANTOS JF-Expert Member Joined Mar 11, 2019 Posts 13,902 Reaction score 31,156 Oct 24, 2021 Thread starter #3 Chakorii said: Mzee umepigwa tukio nini Mapenzi yanatesa mno kudadeki Kuna mjinga nilimpenda akaniwasha tukio maridadi sana Mapenzi yakikuda mno Click to expand... Kupigwa kupo cha msingi uhai, pole kwa yaliokukuta
Chakorii said: Mzee umepigwa tukio nini Mapenzi yanatesa mno kudadeki Kuna mjinga nilimpenda akaniwasha tukio maridadi sana Mapenzi yakikuda mno Click to expand... Kupigwa kupo cha msingi uhai, pole kwa yaliokukuta
Kennedy Platinum Member Joined Dec 28, 2011 Posts 59,205 Reaction score 69,742 Oct 24, 2021 #4 Ndugu Zangu Tuchape Kazi Tanzania Ni Tajiri
DR SANTOS JF-Expert Member Joined Mar 11, 2019 Posts 13,902 Reaction score 31,156 Oct 24, 2021 Thread starter #5 Kennedy said: Ndugu Zangu Tuchape Kazi Tanzania Ni Tajiri Click to expand... Ujumbe mzuri, kazi na dawa
Kennedy said: Ndugu Zangu Tuchape Kazi Tanzania Ni Tajiri Click to expand... Ujumbe mzuri, kazi na dawa
Kelsea JF-Expert Member Joined Dec 21, 2020 Posts 14,970 Reaction score 35,342 Oct 24, 2021 #6 Chakorii said: Mzee umepigwa tukio nini Mapenzi yanatesa mno kudadeki Kuna mjinga nilimpenda akaniwasha tukio maridadi sana Mapenzi yakikuda mno Click to expand... Pole bebe
Chakorii said: Mzee umepigwa tukio nini Mapenzi yanatesa mno kudadeki Kuna mjinga nilimpenda akaniwasha tukio maridadi sana Mapenzi yakikuda mno Click to expand... Pole bebe
Kelsea JF-Expert Member Joined Dec 21, 2020 Posts 14,970 Reaction score 35,342 Oct 24, 2021 #7 Mapenzi sometimes ni upuuzi sana.
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Oct 24, 2021 #8 Everglow said: Pole bebe Click to expand... Asante ingawa miaka imeshapita
KENZY JF-Expert Member Joined Dec 27, 2015 Posts 35,794 Reaction score 86,552 Oct 24, 2021 #9 🤣🤣 Tayari huyu pole mkuu..
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 77,105 Reaction score 165,329 Oct 24, 2021 #10 Poleni sana kwa kuumizwa na mapenzi....
M Muamu3 JF-Expert Member Joined Aug 20, 2020 Posts 2,706 Reaction score 4,545 Oct 24, 2021 #11 Ushaangukia mbavu kaa kwa kutulia jipe hata miezi kadhaa
Smith Rowe JF-Expert Member Joined Sep 18, 2018 Posts 4,513 Reaction score 9,553 Oct 24, 2021 #12 Mapenzi yatakuua
I LOVE GIRLS JF-Expert Member Joined Nov 17, 2020 Posts 857 Reaction score 1,323 Oct 24, 2021 #13 Mapenzi
DR SANTOS JF-Expert Member Joined Mar 11, 2019 Posts 13,902 Reaction score 31,156 Oct 24, 2021 Thread starter #14 Everglow said: Mapenzi sometimes ni upuuzi sana. Click to expand... Upuuzi hasa pale unapoachwa mataa
Everglow said: Mapenzi sometimes ni upuuzi sana. Click to expand... Upuuzi hasa pale unapoachwa mataa
DR SANTOS JF-Expert Member Joined Mar 11, 2019 Posts 13,902 Reaction score 31,156 Oct 24, 2021 Thread starter #15 Chakorii said: Asante ingawa miaka imeshapita Click to expand... Kusahau ni ngumu
DR SANTOS JF-Expert Member Joined Mar 11, 2019 Posts 13,902 Reaction score 31,156 Oct 24, 2021 Thread starter #16 KENZY said: Tayari huyu pole mkuu.. Click to expand... Tunapigwa sana wauni
DR SANTOS JF-Expert Member Joined Mar 11, 2019 Posts 13,902 Reaction score 31,156 Oct 24, 2021 Thread starter #17 I LOVE GIRLS said: Mapenzi Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app Click to expand... Kikohozi
I LOVE GIRLS said: Mapenzi Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app Click to expand... Kikohozi
DR SANTOS JF-Expert Member Joined Mar 11, 2019 Posts 13,902 Reaction score 31,156 Oct 24, 2021 Thread starter #18 Top leader said: Ushaangukia mbavu kaa kwa kutulia jipe hata miezi kadhaa Click to expand... Tunapigwa sana wauni
Top leader said: Ushaangukia mbavu kaa kwa kutulia jipe hata miezi kadhaa Click to expand... Tunapigwa sana wauni
M Muamu3 JF-Expert Member Joined Aug 20, 2020 Posts 2,706 Reaction score 4,545 Oct 24, 2021 #19 Santos06 said: Tunapigwa sana wauni Click to expand... Matokeo ya mchezo tafuta chimbo jipya
babyfancy JF-Expert Member Joined Oct 20, 2018 Posts 2,176 Reaction score 6,188 Oct 24, 2021 #20 Me ndio maana niko busy kumpenda Mungu wa mbingun tuharusi ni moja tu ya mwana kondoo