Billionaire investor
Member
- Dec 29, 2017
- 20
- 7
Natafuta mchumba kutoka Tanga, Niko chuo umri wangu 23.elimu YAKE form four au six leaver but as I we mwanachuo nikigraduate tu tunafunga ndoa plz aliye tayar inbox me
Kijana utawaweza watoto wa huko au wataka tuletea kesi tuNatafuta mchumba kutoka Tanga, Niko chuo umri wangu 23.elimu YAKE form four au six leaver but as I we mwanachuo nikigraduate tu tunafunga ndoa plz aliye tayar inbox me
No! Hii ni ndoto yangu longUmesikia mwenzako kamwagiwa asali na wewe umeona utafute wa kutoka tanga
Mama yake wa Tanga? (nikoserious)Ni lazima atoke Tanga? Binti yangu ana vigezo lakini baba yake si wa Tanga.
virusi gani Ndugu?Una virusi?