Looking for a man to marry (seriously)

Looking for a man to marry (seriously)

newoverhere

Member
Joined
Mar 4, 2014
Posts
23
Reaction score
9
Jamani nipo serious, siyo mzaha!

Nahitaji mwanaume anayefaa kuwa mume kwa maana ya kujali na kutunza familia na mwenye mapenzi ya kweli.

Sifa: umri 30-35, elimu atleast six na kuendelea,

Awe mwajiriwa au anayejishughulisha ku-generate income,

Mkristo mkatoliki,

Mrefu na siyo mnene sana, awe tayara kuchek afya na asiwe na mtoto,

Asiwe mweupe na pia awe mwaminifu.

Sifa zangu: umri 27, degree holder, mwajiriwa, mnene kiasi, siyo mweupe wala mweusi, siyo mrefu wala mfupi.

Mwenye sifa na aliye serious an-pm, no jokes please
 
kama unavyosema mapenzi yanaanzia kokote mimi ninasema mapenzi hayana umri( age yangu ni 22) mwanafunzi wa chuo md.
 
Jamn kama nipo serious I hope nitampata aliyeko serious km mm, na Mungu yupo kila sehem hata humu jf yupo.
 
Jaman nipo serious, cyo mzaha! Nahitaji mwanaume anayefaa kuwa mume kwa maana ya kujali na kutunza familia na mwenye mapenz ya kweli.

Sifa: umri 30-35, elimu atleast six na kuendelea, awe mwajiriwa au anayejishughulisha ku-generate income, mkristo mkatoliki, mrefu na cyo mnene sn, awe tayar kuchek afya na acwe na mtoto, acwe mweupe na pia awe mwaminifu.

Sifa zangu: umri 27, degree holder, mwajiriwa, mnene kiac, cyo mweupe wala mweuc, cyo mrefu wala mfupi. Mwenye cfa na aliye serious an-pm, no jokes plzzzz!!!

weka picha tangazo likamilike
 
Jaman nipo serious, cyo mzaha! Nahitaji mwanaume anayefaa kuwa mume kwa maana ya kujali na kutunza familia na mwenye mapenz ya kweli.

Sifa: umri 30-35, elimu atleast six na kuendelea, awe mwajiriwa au anayejishughulisha ku-generate income, mkristo mkatoliki, mrefu na cyo mnene sn, awe tayar kuchek afya na [colour=red]acwe na mtoto[\colour], acwe mweupe na pia awe mwaminifu.

Sifa zangu: umri 27, degree holder, mwajiriwa, mnene kiac, cyo mweupe wala mweuc, cyo mrefu wala mfupi. Mwenye cfa na aliye serious an-pm, no jokes plzzzz!!!
Hapo kwenye red
Mungu akujalie upate mtoto kwenye hiyo ndoa unayoitegemea.
 
hongera mdada imewatokea sana dizain yako mwisho wa siku unaona uzush
 
Uko wapi kimakazi,ushamaliza kila kitu kwenye uhusiano wako wa mwisho,kabila gani,ndoa ni kitu muhimu unafikiri unahitaji muda gani kujua alie serious?tuanzie hapa kwanza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom