newoverhere
Member
- Mar 4, 2014
- 23
- 9
Jamani nipo serious, siyo mzaha!
Nahitaji mwanaume anayefaa kuwa mume kwa maana ya kujali na kutunza familia na mwenye mapenzi ya kweli.
Sifa: umri 30-35, elimu atleast six na kuendelea,
Awe mwajiriwa au anayejishughulisha ku-generate income,
Mkristo mkatoliki,
Mrefu na siyo mnene sana, awe tayara kuchek afya na asiwe na mtoto,
Asiwe mweupe na pia awe mwaminifu.
Sifa zangu: umri 27, degree holder, mwajiriwa, mnene kiasi, siyo mweupe wala mweusi, siyo mrefu wala mfupi.
Mwenye sifa na aliye serious an-pm, no jokes please
Nahitaji mwanaume anayefaa kuwa mume kwa maana ya kujali na kutunza familia na mwenye mapenzi ya kweli.
Sifa: umri 30-35, elimu atleast six na kuendelea,
Awe mwajiriwa au anayejishughulisha ku-generate income,
Mkristo mkatoliki,
Mrefu na siyo mnene sana, awe tayara kuchek afya na asiwe na mtoto,
Asiwe mweupe na pia awe mwaminifu.
Sifa zangu: umri 27, degree holder, mwajiriwa, mnene kiasi, siyo mweupe wala mweusi, siyo mrefu wala mfupi.
Mwenye sifa na aliye serious an-pm, no jokes please