Looking for a man to marry (seriously)

Looking for a man to marry (seriously)

Picha ntaweka kwa atayen-pm na tukafikia muafaka. Nipo dar na ni mchagga
 
Kwa sisi ambao namna ya uandishi wa mtu pia ni kigezo cha msingi kabla hujamkabili wewe umefeli.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Jaman nipo serious, cyo mzaha! Nahitaji mwanaume anayefaa kuwa mume kwa maana ya kujali na kutunza familia na mwenye mapenz ya kweli.

Sifa: umri 30-35, elimu atleast six na kuendelea, awe mwajiriwa au anayejishughulisha ku-generate income, mkristo mkatoliki, mrefu na cyo mnene sn, awe tayar kuchek afya na acwe na mtoto, acwe mweupe na pia awe mwaminifu.

Sifa zangu: umri 27, degree holder, mwajiriwa, mnene kiac, cyo mweupe wala mweuc, cyo mrefu wala mfupi. Mwenye cfa na aliye serious an-pm, no jokes plzzzz!!!

Am here Mamii,nimekidhi vigezo vyako
 
Dada Angu Unajua Wakat Mwngine Mtu Anaweza Kusema Uwe Serious Kwan Kumpata Mwenye Elimu Kuanzia Fom 6 Mwenye Umr 30 Au 35 Du Siju But M Npo Serious Na Nakuzd Mwaka M1 Ukpenda Tuwasiliane ( 0716824062) kwa ajil ya mazungumzo zaid
 
shimbony shapfo! mpora dunia yamtsia kite kya rundia mambo wa ajabu ajabu nki?MARIOOO NI WENGI AJABU!
 
Jaman nipo serious, cyo mzaha! Nahitaji mwanaume anayefaa kuwa mume kwa maana ya kujali na kutunza familia na mwenye mapenz ya kweli.

Sifa: umri 30-35, elimu atleast six na kuendelea, awe mwajiriwa au anayejishughulisha ku-generate income, mkristo mkatoliki, mrefu na cyo mnene sn, awe tayar kuchek afya na acwe na mtoto, acwe mweupe na pia awe mwaminifu.

Sifa zangu: umri 27, degree holder, mwajiriwa, mnene kiac, cyo mweupe wala mweuc, cyo mrefu wala mfupi. Mwenye cfa na aliye serious an-pm, no jokes plzzzz!!!

Probably the best and respectable thread in here duuu
Dada mungu unamuamini akubariki sana
 
Jaman nipo serious, cyo mzaha! Nahitaji mwanaume anayefaa kuwa mume kwa maana ya kujali na kutunza familia na mwenye mapenz ya kweli.

Sifa: umri 30-35, elimu atleast six na kuendelea, awe mwajiriwa au anayejishughulisha ku-generate income, mkristo mkatoliki, mrefu na cyo mnene sn, awe tayar kuchek afya na acwe na mtoto, acwe mweupe na pia awe mwaminifu.

Sifa zangu: umri 27, degree holder, mwajiriwa, mnene kiac, cyo mweupe wala mweuc, cyo mrefu wala mfupi. Mwenye cfa na aliye serious an-pm, no jokes plzzzz!!!

una watoto wangapi
 
Jamani nipo serious, siyo mzaha!

Nahitaji mwanaume anayefaa kuwa mume kwa maana ya kujali na kutunza familia na mwenye mapenzi ya kweli.

Sifa: umri 30-35, elimu atleast six na kuendelea,

Awe mwajiriwa au anayejishughulisha ku-generate income,

Mkristo mkatoliki,

Mrefu na siyo mnene sana, awe tayara kuchek afya na asiwe na mtoto,

Asiwe mweupe na pia awe mwaminifu.

Sifa zangu: umri 27, degree holder, mwajiriwa, mnene kiasi, siyo mweupe wala mweusi, siyo mrefu wala mfupi.

Mwenye sifa na aliye serious an-pm, no jokes please






Hizi sifa mnazozitaka naona huwa hamna haja ya kuolewa , mwanaume wa sifa hizo ameisha oa kwa sasa punguza baadhi ya sifa !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom