BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
Ooh mbona unataka kuniwangia bana, kwani nani alikwambia kama wavuvi huwa wanaoa~sisi wavuvi tuna msemo watu bana, unasema "We are not a one woman men". He he he!.
Haya bwana nimekuvulia kofia na huo msemo..pole pole tu mana wavuvi mnavua samaki wa kila aina changu,sato,perege nk..sasa huyu dada anatafuta husband naona kakupata na hivi wewe ni husband wa mtu!!!