Looking for a husband

Ooh mbona unataka kuniwangia bana, kwani nani alikwambia kama wavuvi huwa wanaoa~sisi wavuvi tuna msemo watu bana, unasema "We are not a one woman men". He he he!.

Haya bwana nimekuvulia kofia na huo msemo..pole pole tu mana wavuvi mnavua samaki wa kila aina changu,sato,perege nk..sasa huyu dada anatafuta husband naona kakupata na hivi wewe ni husband wa mtu!!!
 
Kaza buti Truli utampata humuhumu tushaona mafanikio ya mmoja kasema amepata na wewe fata nyuma. Ooops kumbe sio wewe mwambie shoga hata ukiwa wewe hamna noma
Yes c unajua tena determination works
 
Haya bwana nimekuvulia kofia na huo msemo..pole pole tu mana wavuvi mnavua samaki wa kila aina changu,sato,perege nk..sasa huyu dada anatafuta husband naona kakupata na hivi wewe ni husband wa mtu!!!

...BJ mnh, kumbe mtaalamu wa majina ya samaki wewe, ...anyway, mvuvi mahiri ni yule atayebahatika mvua Nguva.

mermaid11.bmp
 
Duh! tatizo moja tuu nina kitambi na kipara, naweza kufikiriwa au ndo tayari OUT???
 
Duh! tatizo moja tuu nina kitambi na kipara, naweza kufikiriwa au ndo tayari OUT???

Wewe mpm tu atakiona hukohuko mbele ya safari wakati huo utakuwa ushampa bonge la intro, utamsikia kipara chako kimekaa vizuri kaka
 
Shosti mi sijasema walioolewa watoke kwenye ndoa, nasema kama hujampata wa kukuoa usilazimishie. na usinielewe vibaya, siwanangi wasioolewa, kwani mimi pia nisingeolewa tungekuwa kwenye chungu kimoja.
Dada yangu nilikuwa nafahamu nyendo zake, enzi zile wakati hakuna mitandao kama sasa, na aliolewa na mtu aliyekuwa hakai maeneo ya pale kwetu... tena alifanya kubebewa bango amkubali maana alisema hamwamini sababu hajamfahamu muda mrefu. Tunamshukuru Mungu wanaishi kwa raha mustarehe

Hapo kwenye red, unafikiri kwanini alibebewa bango uyo dadako? nafikir ni kwasababu umri ulikuwa umeenda. So shogangu nae kaona umri umeenda lazima kuwe na efforts. Sio kulazimisha but yuko determined kuwa na familia yake in the future. Wewe umepata tulia usikandie wenzako alaaa!
 
Truly umechaki na maganga?? embu mcheki inawezekana mna machemistry nae
 
...BJ mnh, kumbe mtaalamu wa majina ya samaki wewe, ...anyway, mvuvi mahiri ni yule atayebahatika mvua Nguva.

mermaid11.bmp

Mambo ya kanda ya ziwa Mbu..huyo mermaid ametulia, umenikumbusha movie flani ila title imenitoka..Haya jitahidi uwe mvuvi mahiri basi:)))))
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom