Look at this: Huu ni Ujinga Hama ni Nini?

Look at this: Huu ni Ujinga Hama ni Nini?

View attachment 3384730

"Habari Dada samahani naomba unipostie najuta sana dada ako katoto nilizaa na mchina aliyekuwa kwenye mradi wa ujenzi wa barabara.

Mradi ulipoisha akahamia sehemu nyingine, baada ya kujifungua alikuwa ananihudumia vizuri sana na alisema watakapomaliza mradi tutaondoka wote.

Sasa ni miezi kadhaa imepita hapatikani kwenye simu, eneo aliloniambia alienda nilienda ila hayupo kuna rafiki yake nilitafuta namba yake nikaipata ila aliniambia kasharudi zake china.

Dada nina mtoto ambaye hatamjua baba ake wala ukoo wake ni bora ningezaa na mtu ambaye ni wa hapa hapa nchini angalau hata akinitelekeza nitajua wapi kwao na mtoto atawajua ndugu zake hata kama hataenda kwao.

Ila sasa huyu mchina najuta sana nimetelekezewa mtoto bora angemchukua tu mtoto akaniacha mimi!."

C&C
Haha ni hela kakosa au Nini , maana angekua na hela asingesema mtt aende na babake, by the way pole yake utam kolea kakachezeshe Yale madogoli Yao ya kichina😆
 
Lea huyo jiehong huwez jua huko mbeleni anaweza kuwa donyen au mkandarasi kama babake
 
Huyu mtoto ana qazaz wake huko ulaya..huyu kachukuaboicha mtandaoni na kuanza kunitumia kutafuta engagement
 
Wadada fanyeni kazi

Miili yenu sio kitega uchumi ndio maana TRA haiwatozi kitu.
 
View attachment 3384730

"Habari Dada samahani naomba unipostie najuta sana dada ako katoto nilizaa na mchina aliyekuwa kwenye mradi wa ujenzi wa barabara.

Mradi ulipoisha akahamia sehemu nyingine, baada ya kujifungua alikuwa ananihudumia vizuri sana na alisema watakapomaliza mradi tutaondoka wote.

Sasa ni miezi kadhaa imepita hapatikani kwenye simu, eneo aliloniambia alienda nilienda ila hayupo kuna rafiki yake nilitafuta namba yake nikaipata ila aliniambia kasharudi zake china.

Dada nina mtoto ambaye hatamjua baba ake wala ukoo wake ni bora ningezaa na mtu ambaye ni wa hapa hapa nchini angalau hata akinitelekeza nitajua wapi kwao na mtoto atawajua ndugu zake hata kama hataenda kwao.

Ila sasa huyu mchina najuta sana nimetelekezewa mtoto bora angemchukua tu mtoto akaniacha mimi!."

C&C
Aisee
 
Hakuna mchina mwenye jicho kubwa kiasi hicho, huyo ni mtoto wa kiswahili tu, na siku zote mtoto ni wa mama ndio maana anaitwa mama flani, ila baba ye ni Mzee flani
 
Jibu zuri la kumpa ni kuwa;

Hana Akili kabisa,
Aache Tamaa na ngozi nyeupe,
Aache Tamaa ya maisha mzuri,

Angekuwa karibu yangu ningemnasa kibao.
 
View attachment 3384730

"Habari Dada samahani naomba unipostie najuta sana dada ako katoto nilizaa na mchina aliyekuwa kwenye mradi wa ujenzi wa barabara.

Mradi ulipoisha akahamia sehemu nyingine, baada ya kujifungua alikuwa ananihudumia vizuri sana na alisema watakapomaliza mradi tutaondoka wote.

Sasa ni miezi kadhaa imepita hapatikani kwenye simu, eneo aliloniambia alienda nilienda ila hayupo kuna rafiki yake nilitafuta namba yake nikaipata ila aliniambia kasharudi zake china.

Dada nina mtoto ambaye hatamjua baba ake wala ukoo wake ni bora ningezaa na mtu ambaye ni wa hapa hapa nchini angalau hata akinitelekeza nitajua wapi kwao na mtoto atawajua ndugu zake hata kama hataenda kwao.

Ila sasa huyu mchina najuta sana nimetelekezewa mtoto bora angemchukua tu mtoto akaniacha mimi!."

C&C
 
Hako katoto katakuwa kama Takadini. Babake katelekeza, Mamake anasema bora angechukuliwa kwenda China. Clearly hakuna upande unaompenda huyo mtoto kwa dhati.
 
Nini unaweza kufikilia na kuwazua juu ya watoto wetu wa kike na dada zenu kutokana na tukio hilo?.
Ujinga na tamaa ya kutaka kutoka na watu wa nje wakidhani watepelekwa huko kumbe wanavuliwa chupi tu. Kina dada rudini shule, maisha hayana mkato, msione kina Lulu Diva na Wema wachanganikiwa maishani hivi sasa kwa kubaka matunda na kujirecord mitandaoni, yale ni matokeo ya kucheza na maisha.
 
Pole yako.......unaweza kuta jamaa hata sio engineer alikuwa tu saidia fundi baada ya kumaliza kifungo huko kwao kwa utapeli wa mtandaoni kama wale wa tuma na namba hii..........kaja na upwilu wake ukampa mzigo kiulaiini..........huku ukiwanyima wana na kuwaona sio type zako..........pambana tu na half cast wako hamna namna.........dada matawi ya juu umeliwa na muuza maji ya mia mia china........
 
Back
Top Bottom