Nguvu za malaika mkuu zimetawala baraWatanganyika hayo hamuyawezi ,tunawaangalia kama mtaweza au mnatungojea tufanye tena,no way sasa ni zamu yenu chini ya CHADEMA,
Zanzibar washakomesha unyanyasaji?!Watanganyika hayo hamuyawezi ,tunawaangalia kama mtaweza au mnatungojea tufanye tena,no way sasa ni zamu yenu chini ya CHADEMA,
Wameshakomesha si unaona hakuna malalamiko hakuna polisi kuvamia,haluna wale janjaweeds aka mazombi,wanasubiri huko kwenu waone hayo maandamano mliyoyapanga mtaweza au domo nyumba maneno,CUF walitangaza maandamano na yalianyika na purukushani zilionekanana na kusikika dunia nzima.sasa kazi kwenu CDM.si mnadai mnapendwa na wananchi,simnadai mlishinda uchaguzi kwa ufupi mna wafuasi wengi kuliko chama chochote hivyo mmeitisha maandamano bila ya shaka kwa wingi wa wafuasi wenu mtatawala uwanja,tuone.,mkishindwa bendera tunairudisha kwa wanangangari Mbowe na genge lake watakuwa hawafai nitawaona ni wababaishaji ,ubabaishaji nambari wani yale maandamano waliyoitisha ya UKUTA ,walishindwa kuyasimamia. Maandamano yanayoitwishwa na CUF huwa hayarudi ,Tunawasubiri tuone .Zanzibar washakomesha unyanyasaji?!
Acha ukuda tanganyika ipo wapi?Basi wazanzibar wanajionaga makaksi kwelii. Kumbe ni kolini la Tanganyika
Acha ukuda tanganyika ipo wapi?Basi wazanzibar wanajionaga makaksi kwelii. Kumbe ni kolini la Tanganyika
Wewe ndio uache ukudaAcha ukuda tanganyika ipo wapi?
Nyie watu ni wa hovyo kabisa,sawa unajisifia maandamano,je serikali unayo?Maandamano yanayoitwishwa na CUF huwa hayarudi ,Tunawasubiri tuone .
Kuwa na serikali niupande wa pili wa shilingi,maandamano yalipangwa au hayakupangwa.Je yalifanyika,jawabu yalipangwa na yalifanyika,Nyie watu ni wa hovyo kabisa,sawa unajisifia maandamano,je serikali unayo?
Haishambuliwi inahimizwa ifanye kweli,wanachama wanapoyea wanapigwa kwenye viyuo,wanapigwa risasi ,wanababikizwa kesi , viongozi wa CDM mpo wapi,mnafanya nini?naona mumeshambulia chadema sana, kwani chadema wametamka kuwa watafanya maandamano, hahahaha, hii inanichekesha kama ya nondo kujiteka, mwenyewe hakutamka kuwa katekwa, hahahaha, tanzania yangu bana