Duh haya mahesabu basis yake ni nini? Ningependa kupata ufafanuzi.Long distance haitakiwi kuzidi km 350
Vikidizi hapo ni mnadanganyana
Km 350 au chini ya hapoDuh haya mahesabu basis yake ni nini? Ningependa kupata ufafanuzi.
Kwa hiyo kama nipo dar mpenzi awepo maeneo ya gairo zaidi ya hapo ni kichapiwa tuu. So wale ambao wapenzi wao wapo dodoma wahesabu hasara🤣🤣🤣🤣🤣Km 350 au chini ya hapo
Unaweza kwenda kupalilia penzi jmos na jpl ukarudi
Na kama yupo Arusha basi mchumba awe Moshi, Singida au Dom 🤣Kwa hiyo kama nipo dar mpenzi awepo maeneo ya gairo zaidi ya hapo ni kichapiwa tuu. So wale ambao wapenzi wao wapo dodoma wahesabu hasara🤣🤣🤣🤣🤣
Ah wee kwa dunia ya sasa hutakiwi kuwa na relationship....ni mwendo wa locationship tuu🤣🤣🤣🤣Na kama yupo Arusha basi mchumba awe Moshi, Singida au Dom 🤣
Mimi nipo mjini miak 5 na mtu wang yupo uko uhayani na tupo vzr
😂😂😂Ata mademu hawawezi wanaishia kupiga selfie na kona ya kitanda au maji ya moto🤣🤣🤣🤣🤣
Upo mrembo....naona umechekaaaa....imekukumbusha mahusiano yako na yule jamaaa. Vipi nyie umbali ulizidi 350km?
Yan unaninyamyasa balaa sikuhiz 😀😀😀nishapata jamaa mpya brand new 😂😂Upo mrembo....naona umechekaaaa....imekukumbusha mahusiano yako na yule jamaaa. Vipi nyie umbali ulizidi 350km?
Sikunya yasi bwana sii tunaongea ukweli.Yan unaninyamyasa balaa sikuhiz 😀😀😀nishapata jamaa mpya brand new 😂😂
Kabisa....purpose ya relationship ni kunyanduana daily....mambo ya selfie ya nini tenaRelationship ya kuonyeshana via vya uzazi kupitia simu ni upotevu wa rasilimali tu. Kwangu kama ni distance relationship isizidi 50km, yaani dar-bagamoyo, hiyo ni max.
Naona unaongea from experience mpingo.Km 350 au chini ya hapo
Unaweza kwenda kupalilia penzi jmos na jpl ukarudi
Sawa lkn nyege zikimpanda sisi Wakulungu tunakusaidia kuziweka sawa.Mimi nipo mjini miak 5 na mtu wang yupo uko uhayani na tupo vzr
Ni nzuri ila ina gharama yake
Mwanaume lazma uwe na kipato himilivu ili kuenjoy mapenzi ,,,familia iwe inapata mahitaji ipaswavyo,,
Mwanaume uwe na uwezo wa kuafford gharama za safari muda wowote na siku yoyote..
Isiwe kusafiri eti mpk ipatikane pesa....binafsi naenjoy...
Msipokuwa na hofu ya Muumba kuchepuka kunakuwa 50/50 both sides scores equal
Exactly.hata miaka yote inawezekana lakini ujue mmoja wenu ana mtu wake in your absence. Yaani for that relationship to exist, one of you must be stupid
Cost na muda.Umbali ukiwa mrefu sana gharama zinakuwa juu na muda unakuwa mrefu kusafiri,ikiwa ni Mtumishi inakulazimu kukutana na mwenzi wako mara moja moja tu.Duh haya mahesabu basis yake ni nini? Ningependa kupata ufafanuzi.