Pesa ndo kila kitu.....
Long Distance relationship SUCKS......
Agreed
Pesa ndo kila kitu ukiwa huna ukizishika ndo utagundua pesa sio kila kitu.
Wanawake na nyie hamjambo kwenye kuchepuka ila ndo mstari wa mbele kulalamika
Mhhhhh!! yaani ulivyotutupia mpira utafkiri huwa tunachepuka na wanaume wenzetu
mhm...wanawake hawana uwezo mkubwa sana wa kuvumilia. wangekuwa wanauwezo wakuvumilia tusingekuwa tunawageggeda na tungeoa mabikra
Uongo huo. Wanaoongoza kugawa ni wanawake
victim???
Nikimaanisha uwezo wa kuvumilia, namaanisha pale ambapo anajijua anaye wa kwake na anampenda kidhati....Hiyo kutolewa bikra huwa wengi wanatolewa kutokana na kupenda...Msichana anatongozwa yeye anaamini mwanaume huyu ndie wangu wa maisha anaanza mahusiano then baadae anakuja umizwa....
Uongo huo. Wanaoongoza kugawa ni wanawake
Jamani mi nilishawahi kumuacha mwanaume....
Nipo nae anaongea nami ananisomea risala zake za kunitongoza tumekaa....Heee mara akapita mdada macho yoote yakageuka kwa yule mdada nikainuka nimeondoka eti km hatuma kumi yeye ndio anageuka anastuka sipo anaanza kuita...Khaaaahh nyie wanaume nyieee lol
Weeeehhh wanaume wanaongoza...Wanatongoza haooo....yaani kwanza kaeni mahali kuwa wasichana kadhaa na wanaume kadhaa...Akipita mwanaume hutaona mwanamke akigeuka kumkodolea macho ya udenda...Sasa apite mwanamke lazima utakuta macho ya mwanaume yamegeuka.....Yaani sijui mkojeee...??
Pesa ndo kila kitu.....