long distance ina work out sana tu... muwe na mapenzi ya kweli tu, mwanamke labda awe na hulka ya uzinzi ila kuna ugumu sana kumvulia pichu mwanaume usiempenda. kwanza hata nyege haziji
hahahaaaaaa unaziita genye njoo njoo ntakupa wali na nyama
Dah na hawa tunaowatindua huku kitaani nyege zinatoka wapi
Jamani mi nilishawahi kumuacha mwanaume....
Nipo nae anaongea nami ananisomea risala zake za kunitongoza tumekaa....Heee mara akapita mdada macho yoote yakageuka kwa yule mdada nikainuka nimeondoka eti km hatuma kumi yeye ndio anageuka anastuka sipo anaanza kuita...Khaaaahh nyie wanaume nyieee lol
Nikimaanisha uwezo wa kuvumilia, namaanisha pale ambapo anajijua anaye wa kwake na anampenda kidhati....Hiyo kutolewa bikra huwa wengi wanatolewa kutokana na kupenda...Msichana anatongozwa yeye anaamini mwanaume huyu ndie wangu wa maisha anaanza mahusiano then baadae anakuja umizwa....
long distance ina work out sana tu... muwe na mapenzi ya kweli tu, mwanamke labda awe na hulka ya uzinzi ila kuna ugumu sana kumvulia pichu mwanaume usiempenda. kwanza hata nyege haziji
We waonekana ni wa kuvuliwa sana umejuaje kama haziji
ndugu tusivunjiane heshima.. huna mandate ya kuni judge., fake ID isifanye u miss behave kwa watu usiowajua.. kupata the real you sio ngumu kama akili yako fupi inavyokudanganya. nakuheshimu, apply the same to me
mmmmh..,tafadhali hebu fafanua zaidDogo hapo unaogelea. Unaingia kichwa, miguu na mikono.
ndugu tusivunjiane heshima.. huna mandate ya kuni judge., fake ID isifanye u miss behave kwa watu usiowajua.. kupata the real you sio ngumu kama akili yako fupi inavyokudanganya. nakuheshimu, apply the same to me