London Declaration on the Illegal Wildlife Trade 2014

London Declaration on the Illegal Wildlife Trade 2014

Asante boss...
Tutaiweka kwenye mashelvu kwanza hadi tupige hela za kutosha kutoka kwa mitembo yetu hiyo
"Midubwana yajizalia yenyewe huko porini, we yakuuma nini" mwisho wa kunukuu
Mkuu, hapo kwenye red sina mbavu!
 
Tanzania imeweza kurudisha hadi tembo mmoja kila baada ya wiki mbili. Ndio maana Kikwete amealikwa

Kikwete amealikwa makusudi ili aaibishwe kwa dunia nzima,,, ndio maana kila interview jana alikuwa anaulizwa kuhusu na yeye kuhusika kwenye hiyo biashara. Mwizi anapokabidhiwa kulinda bidhaa anayopenda kuuiba zaidi,,, mwizi wa tembo analinda tembo...
 
Find out mule Ivory Room, tuna pembe za ndovu tani ngapi?, tumezihifadhi za nini?!. Wenzetu Kenya walizichoma nhadharani, sisi kila tukizishika tunazitaifisha na kuzihifadhi for what?!.Pasco.
Hili ni swali niliwahi kuuliza, sikujibiwa popote!.Pasco
 
Back
Top Bottom